Rais Ruto kuhutubia Bunge Tanzania

Na Mwandishi Wetu

RAIS wa Kenya, William Ruto, anatarajiwa kuhutubia Bunge la Tanzania Mei 5, 2026, hotuba itakayofuatliwa na viongozi mbalimbali wa kitaifa.

Akisoma tangazo la Katibu wa Bunge leo Aprili 29, 2026 Bungeni jijini Dodoma, Naibu Spika wa Bunge, Daniel Sillo, amesema ujio wa Rais huyo unalenga kuimarisha ushirikiano wa kikanda, hususani katika nyanja za biashara, uwekezaji na maendeleo ya kiuchumi kati ya Tanzania na Kenya.

Ameeleza kuwa hotuba ya Rais Ruto inatarajiwa kuwa sehemu muhimu ya kikao hicho, huku akiwahimiza wabunge wote kuhudhuria bila kukosa.

“Tukio hili muhimu na la kihistoria ambalo pia litafuatiliwa na viongozi wakuu wa Kitaifa linalenga ushirikiano wa kindugu kati ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Kenya.  Waheshimiwa wabunge wote mnahimizwa kuhudhuria bila kukosa siku hii muhimu ili kumsikiliza mgeni huyo wa Kitaifa akilihutubia Bunge na Taifa,” amesema Daniel Sillo

spot_img

Latest articles

Adaiwa kumuua mtalaka wake kwa panga kisa nguvu za kiume

Na Mwandishi Wetu JESHI la Polisi mkoani Lindi linamshikilia Hassan Athuman Mpogo (46), mvuvi na...

Mwigizaji, msanii wa Bongo Flava wafariki dunia

Na Mwandishi Wetu MSANII wa filamu nchini, Hashim Kambi, amefariki dunia leo alasiri akiwa anapatiwa...

Watu 37 washikiliwa kwa makosa ya mtandao

Na Mwandishi Wetu JESHI la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam limewakamata watu 37 kwa...

Katibu Mkuu Maji aitaka DAWASA kufunga mkanda mapambano upotevu wa maji

Na Mwandishi wetu BARAZA kuu la Wafanyakazi wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi...

More like this

Adaiwa kumuua mtalaka wake kwa panga kisa nguvu za kiume

Na Mwandishi Wetu JESHI la Polisi mkoani Lindi linamshikilia Hassan Athuman Mpogo (46), mvuvi na...

Mwigizaji, msanii wa Bongo Flava wafariki dunia

Na Mwandishi Wetu MSANII wa filamu nchini, Hashim Kambi, amefariki dunia leo alasiri akiwa anapatiwa...

Watu 37 washikiliwa kwa makosa ya mtandao

Na Mwandishi Wetu JESHI la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam limewakamata watu 37 kwa...