Beki Yanga afanyiwa upasuaji Afrika Kusini

Na Mwandishi Wetu

NAHODHA msaidizi wa timu ya Yanga na mchezaji wa timu ya Taifa (Taifa Stars), Dickson Job, amefanyiwa upasuaji wa goti nchini Afrika Kusini leo Machi 11, 2026, kufuatia majeraha aliyoyapata katika mchezo wa Derby ya Kariakoo.

Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Klabu ya Yanga, Ally Kamwe, amesema upasuaji huo umeenda vizuri na beki huyo anaendelea vizuri baada ya matibabu.

Job alipata jeraha hilo la goti katika mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Simba uliochezwa Machi Mosi, 2026 katika Uwanja wa New Amaan, Zanzibar, uliomalizika kwa sare tasa.

Kwa mujibu wa taarifa ya Klabu ya Yanga, beki huyo anatarajiwa kuwa nje ya uwanja kwa takribani miezi miwili hadi mitatu akiendelea na matibabu kabla ya kurejea uwanjani.

spot_img

Latest articles

Sangweni: Sekta ya Mafuta na Gesi Ni Chachu ya Ukuaji wa Uchumi wa Taifa

Na Mwandishi Wetu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli...

VETA Kihonda yaja ‘cold room’ kupunguza upotevu wa mazao ya wakulima

Na Mwandishi Wetu UBUNIFU wa mfumo jumuishi wa kuhifadhi mazao kwa kutumia teknolojia ya ubaridi...

Ofisi ya Msajili wa Hazina yalenga kukusanya Sh2 trilioni mwaka 2026/27

Na Mwandishi Wetu OFISI ya Msajili wa Hazina (OTR) imejiwekea lengo la kukusanya Sh2...

MAULIDI KITENGE AUNGANA NA TANESCO KUHAMASISHA NISHATI SAFI YA KUPIKIA KWA UMEME

📌 Aahidi kutumia jukwaa lake kuhamasisha wananchi kutumia umeme kwa shughuli za kupikia 📌 Ushirikiano...

More like this

Sangweni: Sekta ya Mafuta na Gesi Ni Chachu ya Ukuaji wa Uchumi wa Taifa

Na Mwandishi Wetu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli...

VETA Kihonda yaja ‘cold room’ kupunguza upotevu wa mazao ya wakulima

Na Mwandishi Wetu UBUNIFU wa mfumo jumuishi wa kuhifadhi mazao kwa kutumia teknolojia ya ubaridi...

Ofisi ya Msajili wa Hazina yalenga kukusanya Sh2 trilioni mwaka 2026/27

Na Mwandishi Wetu OFISI ya Msajili wa Hazina (OTR) imejiwekea lengo la kukusanya Sh2...