Beki Yanga afanyiwa upasuaji Afrika Kusini

Na Mwandishi Wetu

NAHODHA msaidizi wa timu ya Yanga na mchezaji wa timu ya Taifa (Taifa Stars), Dickson Job, amefanyiwa upasuaji wa goti nchini Afrika Kusini leo Machi 11, 2026, kufuatia majeraha aliyoyapata katika mchezo wa Derby ya Kariakoo.

Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Klabu ya Yanga, Ally Kamwe, amesema upasuaji huo umeenda vizuri na beki huyo anaendelea vizuri baada ya matibabu.

Job alipata jeraha hilo la goti katika mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Simba uliochezwa Machi Mosi, 2026 katika Uwanja wa New Amaan, Zanzibar, uliomalizika kwa sare tasa.

Kwa mujibu wa taarifa ya Klabu ya Yanga, beki huyo anatarajiwa kuwa nje ya uwanja kwa takribani miezi miwili hadi mitatu akiendelea na matibabu kabla ya kurejea uwanjani.

spot_img

Latest articles

Rais Samia amuasili mtoto mchanga aliyetelekezwa Nzega

Na Mwandishi Wetu RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ,Samia Suluhu Hassan, amemuasili mtoto...

Rostam aanika maono yake umiliki mpya ya NMG

Na Mwandishi Wetu MFANYABIASHARA na mwekezaji wa Tanzania, Rostam Azizi, ametangaza uwekezaji mkubwa wa kimkakati...

Tanzania Kunufaika na Mradi wa Umoja wa Ulaya wa Kukabiliana na Hatari za Sumu za Kemikali

Na Mwandishi wetu TANZANIA iko katika hatua za awali za upembuzi wa kushiriki katika mradi...

Rostam Aziz ainunua Nation Media ya Kenya

Na Mwandishi Wetu KAMPUNI ya Taarifa Limited inayomilikiwa na mfanyabiashara Rostam Aziz imeingia makubaliano ya...

More like this

Rais Samia amuasili mtoto mchanga aliyetelekezwa Nzega

Na Mwandishi Wetu RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ,Samia Suluhu Hassan, amemuasili mtoto...

Rostam aanika maono yake umiliki mpya ya NMG

Na Mwandishi Wetu MFANYABIASHARA na mwekezaji wa Tanzania, Rostam Azizi, ametangaza uwekezaji mkubwa wa kimkakati...

Tanzania Kunufaika na Mradi wa Umoja wa Ulaya wa Kukabiliana na Hatari za Sumu za Kemikali

Na Mwandishi wetu TANZANIA iko katika hatua za awali za upembuzi wa kushiriki katika mradi...