Kipa wa zamani Yanga afariki dunia

Na Winfrida Mtoi

KIPA wa zamani wa Yanga na timu ya Taifa ya Tanzania, Peter Manyika amefariki dunia leo Januari 26, 2025, wakati akiwa anapatiwa matibabu katika hospitali ya St. Monica, jijini Dar es Salaam.

Familia kupitia mtoto wake, Manyika JR imethibitisha kuwa baba yake amefariki, mwili umehifadhiwa katika hospitali ya Mwananyamala, na msiba upo nyumbani kwao Mbezi.

Manyika atakumbukwa katika historia ya soka nchini kama miongoni mwa makipa bora waliojipatia heshima kubwa nchini akiwa na Yanga na timu ya Taifa kuanzia miaka ya mwishoni mwa miaka ya 1980 na 1990.

Mwaka 1999 aliiongoza Yanga kutwaa ubingwa wa Kombe la Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati mwaka 1999 nchini Uganda.

Baada ya kustaafu soka la ushindani, hakuachana na mchezo huo, aliamua kujikita katika ukocha wa makipa na kuendeleza vipaji, akifanya kazi na klabu  mbalimbali zikiwamo Ihefu, Fountain Gate na timu za taifa za vijana.

Mwaka 2019 klabu yake za zamani, Yanga ilimpa jukumu la kuwanoa makipa wa timu hiyo akichukua nafasi ya Juma Pondamali, kipindi hicho alikuwa ni Metecha Mnata, Faroukh Shikalo, Klaus Kindoki na Ramadhan Kabwili.

spot_img

Latest articles

 ‘Umimi’ wa viongozi unaua Jumuiya Afrika Mashariki

KATIKATI ya miaka ya 90 wakati mfumo wa vyama vingi unaota mizizi, lilitokea wazo...

Wanafunzi watatu wafariki dunia baada ya kupigwa na radi Dar

Na Mwandishi wetu WANAFUNZI watatu wa Shule ya Msingi Msongola iliyopo eneo la Msongola,...

Serikali yawataka Wakurugenzi kuongeza thamani inayopimika katika uwekezaji wa hisa chache

Na Mwandishi wetu SERIKALI imewataka wakurugenzi wa bodi za kampuni ambazo ina umiliki wa...

Tanesco yazindua ndege nyuki (Drones) kuboresha miundombinu ya umeme nchini

📌Ni sehemu ya utekelezaji wa mikakati yake kuimarisha huduma kwa wateja kwa kutumia njia...

More like this

 ‘Umimi’ wa viongozi unaua Jumuiya Afrika Mashariki

KATIKATI ya miaka ya 90 wakati mfumo wa vyama vingi unaota mizizi, lilitokea wazo...

Wanafunzi watatu wafariki dunia baada ya kupigwa na radi Dar

Na Mwandishi wetu WANAFUNZI watatu wa Shule ya Msingi Msongola iliyopo eneo la Msongola,...

Serikali yawataka Wakurugenzi kuongeza thamani inayopimika katika uwekezaji wa hisa chache

Na Mwandishi wetu SERIKALI imewataka wakurugenzi wa bodi za kampuni ambazo ina umiliki wa...