JBIC na JICA waahidi ushirikiano kwa ETDCO

Na Mwandishi Wetu

TAASISI ya Japan Bank for International Cooperation (JBIC) pamoja na Japan International Cooperation Agency (JICA) zimeahidi kushirikiana na Kampuni ya Ujenzi na Ukarabati wa Miundombinu ya Umeme (ETDCO) katika utekelezaji wa miradi yake ya ujenzi na ukarabati wa miundombinu ya umeme nchini Tanzania, ikiwemo uwekezaji wa kimkakati.

Wakizungumza katika vikao kazi vilivyofanyika, jijini Tokyo, Japan, viongozi kutoka JBIC na JICA wameeleza dhamira yao ya kushirikiana na ETDCO katika nyanja za uwekezaji, uhamishaji wa teknolojia na utekelezaji wa miradi ya Nishati nchini Tanzania itakayo saidia kuimarisha hali ya upatikanaji wa Nishati ya umeme.

Vikao kazi hivyo ni mwendelezo wa mafanikio ya ETDCO katika Maonesho ya Dunia (Expo 2025) yanayofanyika Osaka, Japan, ambapo Kampuni hiyo inaendelea kujitangaza kimataifa na kuimarisha mtandao wa ushirikiano kwa ajili ya kuharakisha utekelezaji wa miradi yake.

spot_img

Latest articles

ETDCO yaahidi kukamilisha Mradi wa Umeme katika vitongoji 372 Ruvuma kwa wakati

Na Mwandishi Wetu KAMPUNI ya Ujenzi na Ukarabati wa Miundombinu ya Usafirishaji na Usambazaji...

Wadau sekta ya Hali ya Hewa wajadili utabiri wa Masika 2026

Na Mwandishi Wetu WADAU kutoka sekta mbalimbali nchini wamekutana kujadili utabiri wa msimu wa...

WMA yafunga Mtambo wa kisasa unaohakiki Dira za Maji Dodoma

Na Mwandishi Wetu WAKALA wa Vipimo (WMA) umesimika mtambo wa kisasa wa kidijitali wa...

Benki ya CRDB yaja na ‘Benki Kimpango Wako’ yaahidi huduma bora zaidi mwaka 2026

Na Mwandishi wetu BENKI ya CRDB imezindua kampeni yake ya mwaka 2026 inayoitwa ‘Benki Kimpango...

More like this

ETDCO yaahidi kukamilisha Mradi wa Umeme katika vitongoji 372 Ruvuma kwa wakati

Na Mwandishi Wetu KAMPUNI ya Ujenzi na Ukarabati wa Miundombinu ya Usafirishaji na Usambazaji...

Wadau sekta ya Hali ya Hewa wajadili utabiri wa Masika 2026

Na Mwandishi Wetu WADAU kutoka sekta mbalimbali nchini wamekutana kujadili utabiri wa msimu wa...

WMA yafunga Mtambo wa kisasa unaohakiki Dira za Maji Dodoma

Na Mwandishi Wetu WAKALA wa Vipimo (WMA) umesimika mtambo wa kisasa wa kidijitali wa...