Job Ndugai afariki Dunia

Na Mwandishi Wetu

Aliyekuwa Spika wa Bunge la Tanzania na Mbunge wa Kongwa, Job Ndugai amefariki dunia leo Agosti 6,2025 akiwa akiwa anapatiwa  matibabu hospitalini baada ya kuugua ghafla.

Taarifa iliyotolewa na Ofisi ya Bunge, imethibitisha Ndugai kufariki ambapo Spika wa Bunge  Dk. Tulia Ackson amtoa pole  kwa familia na wananchi wa  Jimbo la Kongwa.

“Kwa masikitiko makubwa, naomba kutoa taarifa ya kifo cha kiongozi wetu, mwanasia mkongwe na Spika  Mstaafu wa Bunge Mheshimiwa Job Yustino Ndugai kilichotokea lei jijini Dodoma. Natoa pole kwa familia ya marehemu, ndugu na jamaa na wananchi wa Jimbo la Kongwa, Mwenyezi Mungu awape moyo wa uvumilivu na subira katika kipindi hiki kigumu”, amesema Dk Tulia.

Ndugai amekuwa Spika wa Bunge tangu November 17, 2015 hadi Januari 06, 2022 alipojiuzulu na kuendelea kuwa Mbunge wa Kongwa nafasi ambayo ameendelea kuitetea kwa kuchukua fomu tena mwaka huu ambapo ameshinda kwenye kura za maoni.

Ndugai ambaye amezaliwa January 22,1960 alishinda kura za maoni za Ubunge wa Jimbo la Kongwa kwa kupata kura 5690.

spot_img

Latest articles

Polepole achana na gia ya wamachinga, ni donda ndugu

HIVI karibuni Humphrey Polepole, mwanasiasa machachari na aliyewahi kuwa balozi wa Tanzania nchini Malawi...

Shughuli ya Wanamsimbazi imenoga kwa Mkapa

Na Winfrida Mtoi MASHABIKI wa timu ya Simba wamejitokeza kwa wingi kuhakikisha wanashuhudia kilele cha...

Mhandisi Mramba na JICA wajadili utekelezaji wa Miradi ya Nishati

Na Mwandishi Wetu KATIBU Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mhandisi Felchesmi Mramba amekutana na...

Ujenzi wa Kampasi ya UDOM Njombe waanza kwa kasi

Na Mwandishi Wetu UONGOZI wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) ukiongozwa na Makamu Mkuu wa...

More like this

Polepole achana na gia ya wamachinga, ni donda ndugu

HIVI karibuni Humphrey Polepole, mwanasiasa machachari na aliyewahi kuwa balozi wa Tanzania nchini Malawi...

Shughuli ya Wanamsimbazi imenoga kwa Mkapa

Na Winfrida Mtoi MASHABIKI wa timu ya Simba wamejitokeza kwa wingi kuhakikisha wanashuhudia kilele cha...

Mhandisi Mramba na JICA wajadili utekelezaji wa Miradi ya Nishati

Na Mwandishi Wetu KATIBU Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mhandisi Felchesmi Mramba amekutana na...