Polisi Babati yawafikia vijana wacheza pool table

Na Mwandishi Wetu

Jeshi la Polisi Wilaya ya Babati mkoani  Manyara limewataka vijana kuacha tabia ya kukaa vijiweni na kucheza pool table asubuhi badala yake wajishughulishe na kazi halali za kujipatia kipato ili kuepuka kujiingiza katika matukio ya uhalifu

Wito huo umetolewa na Polisi Kata ya Duru Wilaya ya Babati,  Mkaguzi wa Polisi Fadhil Mgeta , Julai 21, 2025 wakati akitoa elimu ya madhara ya kukaa kijiweni bila kufanya kazi kwa vijana  katika Kijiji cha Qatadium Kata ya Duru.

Pia ametoa onyo kwa vijana hao kuacha kujihusisha na matukio ya uhalifu kwani ni kosa la jinai na Jeshi la Polisi halitavimilia mtu au watu watakaobainika.

spot_img

Latest articles

Waziri wa Nishati Ndejembi azindua rasmi mita janja

Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Nishati, Deogratius Ndejembi amezindua rasmi mita janja (smart meter)...

RC Kunenge: Mto Ruvu ubaki kwa matumizi ya binadamu tu, tusitishe shughuli nyingine kwa muda

Na Mwandishi Wetu MKUU wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, ametoa wito kwa wakulima...

Tume ya Jaji Chande na mlima wenye utelezi

KAMA kuna tume ya uchunguzi iliyopata kuundwa nchini kwa jambo mahususi, ikajikuta katika uwanja...

Rais Samia: Walilenga kupindua dola

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa vurugu...

More like this

Waziri wa Nishati Ndejembi azindua rasmi mita janja

Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Nishati, Deogratius Ndejembi amezindua rasmi mita janja (smart meter)...

RC Kunenge: Mto Ruvu ubaki kwa matumizi ya binadamu tu, tusitishe shughuli nyingine kwa muda

Na Mwandishi Wetu MKUU wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, ametoa wito kwa wakulima...

Tume ya Jaji Chande na mlima wenye utelezi

KAMA kuna tume ya uchunguzi iliyopata kuundwa nchini kwa jambo mahususi, ikajikuta katika uwanja...