Kiungo Moussa  Conte rasmi atambulishwa Yanga

Na Mwandishi Wetu


Mabingwa wa Ligi Kuu na Kombe la Shirikisho Tanzania, Klabu ya Yanga imemtambulisha rasmi kiungo wa kimataifa wa Guinea, Moussa Bala Conte kutoka klabu ya CS Saxfien ya Tunisia, amesaini mkataba wa miaka mitatu.

Kiungo huyo aliyetambulishwa rasmi leo Julai 18,2025  na Wanajangwani hao, alikuwa akihusishwa pia kujiunga na Simba.

Conte  amekuwa na msimu mzuri akiwa na  timu yake ya CS Sfaxien, akitanjwa  kuwa na uwezo mkubwa wa kucheza kama kiungo mshambuliaji au mchezeshaji.

spot_img

Latest articles

JAB yawafungia watangazaji wanne wa kipindi cha Genge la GEN TOK kwa kukiuka maadili

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imewafungia...

Madai ya dada wa Polepole kubebwa, Polisi yachunguza 

Na Mwandishi Wetu Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam  limesema limepokea taarifa za...

Tanzania kuwa na mashirika ya umma yenye ushindani ifikapo 2050

Na Mwandishi Wetu IFIKAPO mwaka 2050, Tanzania inajiona kuwa na Mashirika ya umma ya...

Watendaji wa Uchaguzi watakiwa kusoma Katiba, Sheria, Kanuni za Uchaguzi

Na Mwandishi Wetu TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imewataka Waratibu wa Uchaguzi...

More like this

JAB yawafungia watangazaji wanne wa kipindi cha Genge la GEN TOK kwa kukiuka maadili

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imewafungia...

Madai ya dada wa Polepole kubebwa, Polisi yachunguza 

Na Mwandishi Wetu Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam  limesema limepokea taarifa za...

Tanzania kuwa na mashirika ya umma yenye ushindani ifikapo 2050

Na Mwandishi Wetu IFIKAPO mwaka 2050, Tanzania inajiona kuwa na Mashirika ya umma ya...