Bondia Debora amtangazia vita Asia, apania kulipa kisasi

Na Winfrida Mtoi

Bondia  wa ngumi za kulipwa nchini, Debora Mwenda, ametangaza vita dhidi ya mpinzani wake Asia Meshack , akiahidi kulipa kisasi katika pambano la Dar Boxing Derby litakalofanyika Julai 26, 2025, jijini Dar es Salaam.

Amesema  pambano lililopita baada ya kupoteza alipata hasira kali hadi kulia ulingoni, hivyo bado ana machungu na hasira zote atazimaliza  mchezo ujao watakapokutana  tena na mpinzani wake.

“Nimuambie tu mpinzani wangu Asia kuwa bado nina hasira  ya mechi niliopoteza mbele yake na  nililia.  Namuambia ajipange maana hiyo hasira iliyonifanya ya nilie itakuja kumuishia yeye,” ametamba Debora.

Amesema mashabiki wake watarajie kuona mabadiliko ulingoni kwa kuwa amejipanga kuwapa burudani na kuondoka na ushini siku hiyo.

Hata hivyo amekiri kuwa mpinzani wake ni mzuri lakini amejiandaa vizuri kuhakikisha hawezi kurudia makosa yaliyomfanya apoteze pambano lililopita.

spot_img

Latest articles

Aliyeongoza kura maoni Vunjo 2020, kumkabili tena Dkt. Kimei

Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Enock Koola (35), ambaye aliongoza katika kura za...

Rais Samia ataja mafanikio Sekta ya Nishati 2020-2025

📌Ni wakati akihitimisha shughuli za Bunge jijini Dodoma 📌JNHPP, Umeme Vijijini, Umeme wa Gridi Kigoma...

Rais Samia alitaka Jeshi la Polisi  kukomesha matukio ya watu kupotea, ataja sababu  ongezeko la deni la Taifa

Na Mwandishi Wetu Rais  Samia Suluhu Hassan, ameliagiza  Jeshi la Polisi nchini kuongeza  jitihada katika ...

Balozi Nchimbi ateta jambo na Mwanahabari Mkongwe, Mkurugenzi Mwenza wa Media Brains

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt John Emmanuel Nchimbi akizungumza jambo...

More like this

Aliyeongoza kura maoni Vunjo 2020, kumkabili tena Dkt. Kimei

Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Enock Koola (35), ambaye aliongoza katika kura za...

Rais Samia ataja mafanikio Sekta ya Nishati 2020-2025

📌Ni wakati akihitimisha shughuli za Bunge jijini Dodoma 📌JNHPP, Umeme Vijijini, Umeme wa Gridi Kigoma...

Rais Samia alitaka Jeshi la Polisi  kukomesha matukio ya watu kupotea, ataja sababu  ongezeko la deni la Taifa

Na Mwandishi Wetu Rais  Samia Suluhu Hassan, ameliagiza  Jeshi la Polisi nchini kuongeza  jitihada katika ...