Mambo bado magumu dabi ya Kariakoo, Yanga yaikomalia Bodi ya Ligi

Na Mwandishi Wetu

Licha ya kufanya kikao na uongozi wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), leo Juni 9, 2025, Klabu ya Yanga imeendelea  kushikilia msimamo wake kuwa haitacheza  mechi  ya Juni 15,2025 dhidi ya Simba endapo  hawatakapotimiziwa matakwa yao.

Kikao hicho kimefanyika ikiwa zimebaki  siku sita pekee kufikia tarehe ya mchezo huo ambao awali ulitakiwa kuchezwa Machi 8, 2025 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa.

Kwa mujibu wa taarifa  iliyotolewa na Kamati ya Utendaji ya Yanga leo, imesema kuwa msimamo wao hautobadilika hadi pale mahitaji yao yatakapotimizwa.

Akizungumzia yaliyojili katika kikao hicho, Ofisa Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ligi,  Almas Kasongo, amesema kuwa kikao cha leo kilikuwa  kwa ajili ya   kupokea matakwa ya Yanga ambayo ni  manne,  kujiuzulu kwa Mwenyeketi wa bodi ya ligi, kujiuzulu kwa Ofisa mtendaji mkuu wa, Katibu mkuu wa Tff na kuona bodi ya ligi kuu inakuwa chombo huru.

“Hivyo basi matakwa hayo yamepokewa na yatawasilishwa kwa shirikisho la soka nchini  TFF, ila kwa mamlaka ya bodi ya ligi mpaka sasa ni mchezo upo pale pale juni 15,” amesema.

spot_img

Latest articles

Rais Samia asisitiza maadili kwa Jeshi la Polisi 

Na Mwandishi Wetu Rais Samia Suluhu Hassan amewaasa wahitimu wa kozi ya maafisa na wakaguzi...

Rais Samia kupokea gawio la kihistoria, wachumi watarajia makubwa

Na Mwandishi Wetu RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan,...

Dk. Mpango atoa wito  kwa Mataifa kupunguza uchafuzi wa mazingira, kulinda bioanuwai ya baharini

Na Mwandishi Wetu Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Philip Mpango...

Serikali yatenga bilioni 43 kuimarisha michezo  shuleni

Na Mwandishi Wetu Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali imetenga  Sh 43 bilioni ili kuimarisha michezo katika...

More like this

Rais Samia asisitiza maadili kwa Jeshi la Polisi 

Na Mwandishi Wetu Rais Samia Suluhu Hassan amewaasa wahitimu wa kozi ya maafisa na wakaguzi...

Rais Samia kupokea gawio la kihistoria, wachumi watarajia makubwa

Na Mwandishi Wetu RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan,...

Dk. Mpango atoa wito  kwa Mataifa kupunguza uchafuzi wa mazingira, kulinda bioanuwai ya baharini

Na Mwandishi Wetu Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Philip Mpango...