Kampuni za kubeti zachangia bilioni 17 pato la Taifa

Na Mwandishi Wetu

Waziri wa Fedha Dk. Mwigulu Nchemba amesema hadi kufikia Aprili, 2025 , Bodi ya Michezo ya Kubahatisha Tanzania imekusanya jumla ya Sh 17.42 bilioni  sawa na asilimia 70 ya lengo la mwaka .

Akiwasilisha hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Fedha kwa mwaka wa Fedha 2025/2026 Bungeni Jijini Dodoma leo June 04,2025.

Amesema mwaka2024/25, Bodi ya Michezo ya Kubahatisha Tanzania ilipanga kukusanya mapato yatokanayo na michezo ya kubahatisha ya jumla ya Sh 24.89 bilioni .

“Kwa mwaka 2025/26, Bodi ya Michezo ya Kubahatisha Tanzania imepanga: Kutoa leseni 14,124 ikijumuisha leseni mpya 845 na kuhuisha leseni 13,279; kufanya kaguzi 12 kwa kuzingatia vihatarishi; kutekeleza operesheni  za kudhibiti michezo haramu; kukusanya mapato ya jumla ya shilingi bilioni 29.89,” amesema Waziri Nchemba.

spot_img

Latest articles

Dkt. Biteko: Dunia inaiangalia Tanzania na Afrika Mashariki kuwa Kitovu cha Utalii

📌 Atoa maagizo matatu kwa Wizara ya Maliasili 📌 Rais Samia aiweka Tanzania kwenye...

Gugu asisitiza umuhimu wa ushirikiano Kikanda kukabiliana na uhalifu

Na Mwandishi Wetu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi,  Ally Gugu, amesisitiza...

Spika Tulia: Serikali Itaendelea Kupambana na Changamoto ya Mikopo kwa Wanafunz

Na Mwandishi Wetu SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Tulia...

Makanisa sita ya Gwajima yafungiwa  Mbeya

Na Mwandishi wetu Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limeyafungia matawi sita ya Kanisa la...

More like this

Dkt. Biteko: Dunia inaiangalia Tanzania na Afrika Mashariki kuwa Kitovu cha Utalii

📌 Atoa maagizo matatu kwa Wizara ya Maliasili 📌 Rais Samia aiweka Tanzania kwenye...

Gugu asisitiza umuhimu wa ushirikiano Kikanda kukabiliana na uhalifu

Na Mwandishi Wetu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi,  Ally Gugu, amesisitiza...

Spika Tulia: Serikali Itaendelea Kupambana na Changamoto ya Mikopo kwa Wanafunz

Na Mwandishi Wetu SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Tulia...