DCP Mambosasa afungua mafunzo ya medani za kivita

Na Mwandishi Wetu

Mkuu wa Chuo cha Taaluma ya Polisi Dar es Salaam, Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Dk. Lazaro Mambosasa amefungua mafunzo ya medani za kivita kwa kozi ya uafisa na Mkaguzi Msaidizi wa Polisi namba  1.2024/2025 kwa lengo la kuwajengea uwezo hususani eneo la medani za kivita.

Akizungumza Mei 7, 2025  katika kambi ya Mkomazi iliyopo mkoani Tanga  ambapo  Dk. Mambosasa amewataka wanafunzi hao kuendelea kujifunza mbinu mbalimbali na kuzingatia weledi na maarifa  wanayopatiwa ili kuongeza tija katika utendaji wao wa kazi za kila siku kwa kuhakikisha usalama wa raia na mali zao unaendelea kuimarika.

Aidha, Dk. Mambosasa amempongeza Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Camillus Wambura kwa namna anavyoendelea kutoa fursa za kimasoma na mafunzo ya ndani na nje ya nchi kwa maafisa, wakaguzi na askari wa vyeo mbalimbali ili kuwa na Jeshi la kisasa lenye viwango.

spot_img

Latest articles

DAWASA yafafanua sababu ya ukosefu wa maji maeneo ya Kibaha hadi Kisarawe

Na Mwandishi Wetu MAMLAKA ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA)...

Tanesco yatambuliwa kama sekta wezeshi na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM)

📍Yapokea cheti cha pongezi kwa mchango wake katika kuendeleza elimu jumuishi 📍Utambuzi watolewa katika hafla...

DAWASA yaanza kufunga Pampu zitakazoimarisha huduma ya Maji

Na Mwandishi Wetu MAMLAKA ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA),...

TPDC Yahimiza Wananchi Kulinda Miundombinu ya Bomba la Gesi Asilia

Na Mwandishi Wetu SHIRIKA la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limeendelea kuwashirikisha wananchi...

More like this

DAWASA yafafanua sababu ya ukosefu wa maji maeneo ya Kibaha hadi Kisarawe

Na Mwandishi Wetu MAMLAKA ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA)...

Tanesco yatambuliwa kama sekta wezeshi na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM)

📍Yapokea cheti cha pongezi kwa mchango wake katika kuendeleza elimu jumuishi 📍Utambuzi watolewa katika hafla...

DAWASA yaanza kufunga Pampu zitakazoimarisha huduma ya Maji

Na Mwandishi Wetu MAMLAKA ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA),...