Simba yatinga fainali Kombe la Shirikisho Afrika

Na Mwandishi Wetu

Timu ya Simba imefanikiwa kutinga fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika baada ya leo kutoka suluhu na Stellebosch katika mchezo wa nusu fainali ya pili uliopigwa nchini Afrika Kusini.

Simba imeingia fainali kwa wastani wa bao 1-0 kutokana na ushindi katika mchezo wa kwanza uliopigwa dimba la Mkapa, Dar es Salaam.

spot_img

Latest articles

Mnyama Simba anaachia tu vifaa vyake

Na Mwandishi Wetu Klabu ya Simba leo Julai 30, 2025, imemtambulisha Alassane Kante raia wa...

Chalamila awaalika wakazi wa Dar kujitokeza kwa wingi uzinduzi wa Kituo cha biashara cha EACLC

Na Tatu Mohamed MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amewaalika Watanzania na...

Ajali ya moto yaua watoto yatima watano

Na Mwandishi Wetu Watoto watano waliokuwa wanalelewa katika kituo cha watoto yatima cha Igambilo Manispaa...

Januari Makamba hayumo, Nape apeta uteuzi CCM

Na Mwandishi wetu Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)...

More like this

Mnyama Simba anaachia tu vifaa vyake

Na Mwandishi Wetu Klabu ya Simba leo Julai 30, 2025, imemtambulisha Alassane Kante raia wa...

Chalamila awaalika wakazi wa Dar kujitokeza kwa wingi uzinduzi wa Kituo cha biashara cha EACLC

Na Tatu Mohamed MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amewaalika Watanzania na...

Ajali ya moto yaua watoto yatima watano

Na Mwandishi Wetu Watoto watano waliokuwa wanalelewa katika kituo cha watoto yatima cha Igambilo Manispaa...