Kiungo fundi Yanga kuikosa Azam

Na Mwandishi Wetu

Kiungo wa Yanga Khalid Aucho atakosekana katika mchezo  wa Ligi Kuu Bara  dhidi ya Azam kutokana na jeraha la nyama ya paja alilopata wakati wa mechi dhidi ya Coastal Union ambapo alishindwa kuendelea na mchezo.

Ofisa Habari wa klabu ya Yanga, Ally Kamwe amethibitisa kukosa huduma ya nyota huyo baada ya kufanyiwa vipimo mbalimbali leo na kubainika kuwa na shida ya nyama za paja ambapo  ambapo atakaa nje ya uwanja kwa wiki tatu.

“Siku ya leo tukiongozwa na daktari wetu, Moses Itutu, tulikwenda kwenye hospitali ya  Saifee na Khalid Aucho akafanyiwa vipimo tofauti tofauti na kugundulika amepata shida ya nyama za paja sehemu ya nyuma. Lakini taarifa ya daktali ni kwamba hatakuwepo kwenye mchezo wetu na Azam,”  amesema Kamwe.

Yanga inatarajia kukutana na Azam Aprili 10, 2025 kwenye Uwanja wa Azam Complex, Dar es Salaam.

spot_img

Latest articles

DAWASA yafafanua sababu ya ukosefu wa maji maeneo ya Kibaha hadi Kisarawe

Na Mwandishi Wetu MAMLAKA ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA)...

Tanesco yatambuliwa kama sekta wezeshi na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM)

📍Yapokea cheti cha pongezi kwa mchango wake katika kuendeleza elimu jumuishi 📍Utambuzi watolewa katika hafla...

DAWASA yaanza kufunga Pampu zitakazoimarisha huduma ya Maji

Na Mwandishi Wetu MAMLAKA ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA),...

TPDC Yahimiza Wananchi Kulinda Miundombinu ya Bomba la Gesi Asilia

Na Mwandishi Wetu SHIRIKA la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limeendelea kuwashirikisha wananchi...

More like this

DAWASA yafafanua sababu ya ukosefu wa maji maeneo ya Kibaha hadi Kisarawe

Na Mwandishi Wetu MAMLAKA ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA)...

Tanesco yatambuliwa kama sekta wezeshi na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM)

📍Yapokea cheti cha pongezi kwa mchango wake katika kuendeleza elimu jumuishi 📍Utambuzi watolewa katika hafla...

DAWASA yaanza kufunga Pampu zitakazoimarisha huduma ya Maji

Na Mwandishi Wetu MAMLAKA ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA),...