MOTSEPE KUENDELEA KUONGOZA CAF HADI 2029, KARIA MJUMBE

Na Mwandishi Wetu

Rais wa Shirikisho la Soka  Afrika (CAF), Patrice Motsepe ataendelea kuliongoza shirikisho hilo hadi 2029 baada ya kuchaguliwa katika nafasi katika uchaguzi uliofanyika leo Machi 12,2025, Cairo, Misri.

Motsepe ambaye amekuwa Rais wa shirikisho hilo tangu mwaka 2021,  amechaguliwa akiwa ni mgombea pekee katika nafasi hiyo.

Naye Rais wa Shirikisho la Soka nchini(TFF), Wallace Karia amechaguliwa  mjumbe Kamati ya Utendaji ya (CAF), akiwa mgombea  pekee wa nafasi hiyo kuwakilisha Kanda ya Soka ya Baraza la vyama vya Mpira wa Miguu Afrika Mashariki na Kati (Cecafa).

spot_img

Latest articles

Waziri wa Nishati Ndejembi azindua rasmi mita janja

Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Nishati, Deogratius Ndejembi amezindua rasmi mita janja (smart meter)...

RC Kunenge: Mto Ruvu ubaki kwa matumizi ya binadamu tu, tusitishe shughuli nyingine kwa muda

Na Mwandishi Wetu MKUU wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, ametoa wito kwa wakulima...

Tume ya Jaji Chande na mlima wenye utelezi

KAMA kuna tume ya uchunguzi iliyopata kuundwa nchini kwa jambo mahususi, ikajikuta katika uwanja...

Rais Samia: Walilenga kupindua dola

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa vurugu...

More like this

Waziri wa Nishati Ndejembi azindua rasmi mita janja

Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Nishati, Deogratius Ndejembi amezindua rasmi mita janja (smart meter)...

RC Kunenge: Mto Ruvu ubaki kwa matumizi ya binadamu tu, tusitishe shughuli nyingine kwa muda

Na Mwandishi Wetu MKUU wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, ametoa wito kwa wakulima...

Tume ya Jaji Chande na mlima wenye utelezi

KAMA kuna tume ya uchunguzi iliyopata kuundwa nchini kwa jambo mahususi, ikajikuta katika uwanja...