Kocha KMC akiri kipigo cha Yanga kiliwaumiza

Na Winfrida Mtoi

Kocha Msaidizi wa KMC, John Matambala amefunguka kuwa walipata maumivu makubwa ya kupoteza mchezo ulipita kwa kufungwa na Yanga mabao 6-1, huku akiahidi kijiponya maumivu kwa JKT Tanzania kesho.

Matambala ameyasema hayo leo Februari 17, 2025 wakati akizungumzia maandalizi yao dhidi ya JKT Tanzania katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara utakaochezwa kwenye Uwanja KMC Complex, jijini Dar es Salaam.

Amesema wamejipanda kucheza kama fainali ili kuchukua pointi tatu, licha ya kufahamu ubora wa wapinzani wao.

Kwa upande wake Kacha Mkuu wa JKT Tanzania Ahmed Ally, amesema mchezo huo hautakuwa rahisi kwani kila mmoja anahitaji alama tatu kutokana na  nafasi walipo katika msimamo wa Ligi Kuu.

spot_img

Latest articles

Waogeleaji wa Lake Victoria Sports Club waahidi kuing’arisha Tanzania Kimataifa

Na Mwandishi Wetu Jumla ya waogeleaji sita  chipukizi wa Lake Victoria Sports Club  ya jijini...

Mbunge Kimei kinara kuzungumzia mahitaji ya wananchi

Na Mwandishi Wetu MBUNGE wa Jimbo la Vunjo, Dkt Charles Stephen Kimei ametajwa kuwa...

Sekta binafsi zatakiwa kushiriki kikamilifu kutekeleza mikakati mbalimbali ya nchi

Na Tatu Mohamed, Mwanza  NAIBU Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Mipango na Uwekezaji, Stanislaus Nyongo...

Kafulila: Hatuwezi kujenga uchumi wa nchi bila kushirikisha sekta binafsi

Na Tatu Mohamed, Mwanza MKURUGENZI Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma...

More like this

Waogeleaji wa Lake Victoria Sports Club waahidi kuing’arisha Tanzania Kimataifa

Na Mwandishi Wetu Jumla ya waogeleaji sita  chipukizi wa Lake Victoria Sports Club  ya jijini...

Mbunge Kimei kinara kuzungumzia mahitaji ya wananchi

Na Mwandishi Wetu MBUNGE wa Jimbo la Vunjo, Dkt Charles Stephen Kimei ametajwa kuwa...

Sekta binafsi zatakiwa kushiriki kikamilifu kutekeleza mikakati mbalimbali ya nchi

Na Tatu Mohamed, Mwanza  NAIBU Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Mipango na Uwekezaji, Stanislaus Nyongo...