Mjerumani amrithi Gamondi

Na Winfrida Mtoi

Yanga imemtangaza kocha Sead Ramovic raia wa Ujerumani kuchukua nafasi ya Miguel Gamond.

Kocha huyo mwenye umri wa miaka 45, alikuwa akikinoa kikosi cha Ts Galaxy ya Afrika Kusini tangu mwaka 2021-2024.

Kabla ya kumtangaza kocha huyo Yanga ilitoa taarifa leo Novemba 15, 2024 kuwa imevunja mkataba na Gamondi pamoja na msaidizi wake Moussa Ndaw.

spot_img

Latest articles

Viongozi wa dini waendelea kihimiza amani uchaguzi mkuu

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam VIONGOZI wa dini nchini wameendelea kuhimiza umuhimu wa kudumisha...

Ujumbe wa viongozi wa dini kuelekea uchaguzi mkuu Oktoba 29, 2025 katika Kongamano la Kamati ya Amani Kitaifa Dar es Salaam

Na Mwandishi Wetu Askofu Mkuu Wapo Mission, Dk. Sylvester Gamanywa “Mungu ambaye tunamwakilisha ndiye anayweka watawala...

Watumishi wa umma waaswa kushiriki Uchaguzi wa Oktoba 29

Dar es Salaam. Ofisi ya Msajili wa Hazina (OMH) imetoa wito kwa watumishi wote...

Elimu ya Nishati safi ya kupikia yawafikia maafisa dawati ngazi ya mikoa na Halmashauri

Na Mwandishi Wetu WIZARA ya Nishati imeanza kutoa elimu kuhusu Nishati Safi ya Kupikia...

More like this

Viongozi wa dini waendelea kihimiza amani uchaguzi mkuu

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam VIONGOZI wa dini nchini wameendelea kuhimiza umuhimu wa kudumisha...

Ujumbe wa viongozi wa dini kuelekea uchaguzi mkuu Oktoba 29, 2025 katika Kongamano la Kamati ya Amani Kitaifa Dar es Salaam

Na Mwandishi Wetu Askofu Mkuu Wapo Mission, Dk. Sylvester Gamanywa “Mungu ambaye tunamwakilisha ndiye anayweka watawala...

Watumishi wa umma waaswa kushiriki Uchaguzi wa Oktoba 29

Dar es Salaam. Ofisi ya Msajili wa Hazina (OMH) imetoa wito kwa watumishi wote...