VAR kutumika ligi kuu bara msimu ujao

Na Mwandishi Wetu, Media Brains

Ili kupunguza makosa ya waamuzi katika Ligi Kuu ya Tanzania Bara Serikali imependekeza kutumika kwa Teknolojia ya Kuwasaidia Waamuzi (VAR) kuanzia msimu ujao huku ikitoa msamaha wa kodi kwenye uingizaji wa mashine hizo.

Mapendekezo hayo yametangazwa Juni 13,2024 Bungeni jijini Dodoma na Waziri wa Fedha, Dk. Mwigulu Nchemba, wakati akiwasilisha Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2024/2025.

Amesema VAR itasaidia kuleta ufanisi na kuhakikisha matokeo yanayopatikana uwanjani yanakuwa ya haki.

“Kuna timu msimu mmoja penati 10 halafu zikifungwa zenyewe magoli yanakataliwa, na ili tuwe na VAR za kutosha naleta penndekezo la kutoa msamaha kwenye uingizaji wa mashine za VAR na vifaa vyake,” amesema Dk. Nchemba.

spot_img

Latest articles

Aliyekuwa akiombewa amuua mchungaji wake kwa panga

Na Mwandishi Wetu Jeshi la Polisi Mkoa wa Mtwara linamshikilia Victor Fransis Thomas (39), mkulima...

Lissu awaambia wafuasi wake wajiandae akitoka ni mchakamchaka

Na Mwandishi Wetu Mwenyekiti wa Chama Cha  Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, amewaambia wasuasi na...

Wafanyakazi wa Majumbani 700 Watunukiwa Vyeti vya Mafunzo ya VETA

Na Tatu Mohamed ZAIDI ya wafanyakazi wa majumbani 700 wamepatiwa mafunzo maalum na kutunukiwa vyeti...

Kada wa CCM, Lameck Nyambara Ajitosa Ubunge Segerea

KADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Lameck Nyambara amechukua fomu ya kuwania Ubunge Jimbo...

More like this

Aliyekuwa akiombewa amuua mchungaji wake kwa panga

Na Mwandishi Wetu Jeshi la Polisi Mkoa wa Mtwara linamshikilia Victor Fransis Thomas (39), mkulima...

Lissu awaambia wafuasi wake wajiandae akitoka ni mchakamchaka

Na Mwandishi Wetu Mwenyekiti wa Chama Cha  Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, amewaambia wasuasi na...

Wafanyakazi wa Majumbani 700 Watunukiwa Vyeti vya Mafunzo ya VETA

Na Tatu Mohamed ZAIDI ya wafanyakazi wa majumbani 700 wamepatiwa mafunzo maalum na kutunukiwa vyeti...