Simba yapewa wakusanya kodi, Yanga maafande

Na Mwandishi Wetu

DROO ya hatua ya robo fainali ya michuano ya Kombe la Shirikisho, imefanyika leo Aprili 17, 2026, jijini Dar es Salaam, ambapo Simba imepangwa dhidi ya TRA United huku Yanga ikipewa JKT Tanzania.

Kwa upande wa Azam FC watakuwa wageni, Mashujaa FC katika dimba la Lake Tanganyika, wakati Singida Black Stars itakutana na  Coastal Union  kwenye Uwanja wa  Mkwakwani, Tanga.

Akizungumzia ratiba hiyo, Ofisa Habari wa JKT Tanzania, Masau Bwire ametamba kuwa  hawaihofii kupangwa na Yanga na wamefurahia, anaamini malengo yao yatatimia ya kufika fainali baada ya msimu uliopita kuishia nusu fainali.

“Mechi yetu ya mwisho na Yanga pale KMC yaliwashitua wengi, kuwaonesha ya kwamba sisi tuko vizuri kuliko Yanga, tunakwenda kuwaonesha Watanzania, hadi hapa mechi na Yanga tushamaliza. Nina hakika kichapo cha kizalendo kitaonekana,” amesema. Masau.

spot_img

Latest articles

Waziri Mkuu ahimiza ufungaji kamera  viwanjani kudhibiti ushirikina

Na Mwandishi Wetu WAZIRI Mkuu, Dk.Mwigulu Nchemba, amehimiza ufungaji wa kamera nyingi katika viwanja vya...

Muswada wa Sheria ya Uwekezaji wa Umma kukamilika 2026/27

Na Mwandishi wetu KATIKA kuendelea kuimarisha uwekezaji wa umma, Serikali imepanga kukamilisha Muswada wa...

Kocha Bilo afariki dunia

Na Mwandishi Wetu MMILIKI wa Kituo cha Soka cha Bilo Jijini Mwanza, Kocha Athuman Bilal...

Tukatae kunyweshwa sumu hii

“Kama taifa letu lilipata kuwa na bahati ni kuwa na Rais aliyechukia rushwa kama...

More like this

Waziri Mkuu ahimiza ufungaji kamera  viwanjani kudhibiti ushirikina

Na Mwandishi Wetu WAZIRI Mkuu, Dk.Mwigulu Nchemba, amehimiza ufungaji wa kamera nyingi katika viwanja vya...

Muswada wa Sheria ya Uwekezaji wa Umma kukamilika 2026/27

Na Mwandishi wetu KATIKA kuendelea kuimarisha uwekezaji wa umma, Serikali imepanga kukamilisha Muswada wa...

Kocha Bilo afariki dunia

Na Mwandishi Wetu MMILIKI wa Kituo cha Soka cha Bilo Jijini Mwanza, Kocha Athuman Bilal...