Yanga bingwa Mapinduzi Cup 2026

Na Mwandishi Wetu

YANGA imetwaa ubingwa wa kombe la Mapinduzi ikiifunga Azam FC kwa mikwaju ya penalti 5-4 katika mchezo wa fainali uliopigwa Januari 13, 2026 kwenye dimba la Gombani, Pemba.

Mchezo huo uliishia kwa sare tasa ndani ya dakika 90 za kawaida, hali iliyomlazimu mwamuzi kuongeza muda wa nyingeza dakika 30 ili kumpata mshindi, lakini hakuna timu iliyofanikiwa kufunga.

Katika dakika ya 115 ya mchezo, Yanga ilipata penalti lakini kipa wa Azam Aishi Manula aliokoa mkwaju huo uliopigwa na Pacôme Zouzoua, huku Azam ikiwa pungufu.

Mchezo huo ulikuwa ni mgumu kwa pande zote, licha ya Azam kucheza pungufu tangu dakika ya 74 baada ya mchezaji wao Cheikna Diakite kuoneshwa kadi nyekundu.

Aidha Max Nzengeli wa Yanga amekiwa mchezaji bora wa mashindano (MVP), Manula kipa bora na Jephte Kitambala wa Azam akiibuka mfungaji bora.

spot_img

Latest articles

TTB yakutanisha wadau kujadili mustakabali wa Destination Tanzania

Na Mwandishi Wetu Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) imewakutanisha wadau mbalimbali wa sekta ya...

Sangweni: Sekta ya Mafuta na Gesi Ni Chachu ya Ukuaji wa Uchumi wa Taifa

Na Mwandishi Wetu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli...

VETA Kihonda yaja ‘cold room’ kupunguza upotevu wa mazao ya wakulima

Na Mwandishi Wetu UBUNIFU wa mfumo jumuishi wa kuhifadhi mazao kwa kutumia teknolojia ya ubaridi...

Ofisi ya Msajili wa Hazina yalenga kukusanya Sh2 trilioni mwaka 2026/27

Na Mwandishi Wetu OFISI ya Msajili wa Hazina (OTR) imejiwekea lengo la kukusanya Sh2...

More like this

TTB yakutanisha wadau kujadili mustakabali wa Destination Tanzania

Na Mwandishi Wetu Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) imewakutanisha wadau mbalimbali wa sekta ya...

Sangweni: Sekta ya Mafuta na Gesi Ni Chachu ya Ukuaji wa Uchumi wa Taifa

Na Mwandishi Wetu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli...

VETA Kihonda yaja ‘cold room’ kupunguza upotevu wa mazao ya wakulima

Na Mwandishi Wetu UBUNIFU wa mfumo jumuishi wa kuhifadhi mazao kwa kutumia teknolojia ya ubaridi...