Mchungaji Mashimo ahoji takwimu za Jaji Warioba

Na Mwandishi Wetu

MCHUNGAJI wa kanisa la National Christian Assembly Daudi Mashimo, amesikitishwa na kauli ya Waziri Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Warioba, iliyodai kuwa waliouwawa Oktoba 29, 2025 ni wengi kuliko waliouwawa kwenye vita vya Kagera.

Akizungumza na waandishi wa habari, mchungaji Mashimo alisema Hadi sasa hakuna chombo rasmi kilichotoa takwimu ya watu waliouwawa na kuhoji kiongozi huyo amepata wapi.

“Ametoa wapi takwimu hizo? Tunaomba sana tulipo tunahitaji amani na si kuvuruga wananchi? Alisema Jaji Mashimo.

Alisema Hadi sasa tume Bado inaendelea kufanya kazi iliyopewa Ili itoe majibu sahihi hivyo aliwataka viongozi kukaaa kimya na kungoja majibu ya tume.

spot_img

Latest articles

Kids Holiday Festival yawavuta mamia ya watoto, CRDB yatumia jukwaa kujenga uelewa wa fedha

Na Mwandishi Wetu BURUDANI na michezo mbalimbali vilitawala Tamasha la Kids Holiday Festival lililowakusanya...

Serikali yaahidi kuimarisha uwezeshaji wa Makundi Maalum kupitia ajenda ya Maendeleo Jumuishi

Na Tatu Mohamed WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt....

Mavazi ya kitamaduni kivutio kingine AFCON 2025

Na Winfrida Mtoi SHAMRASHAMRA kuelekea Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON-2025), zimezidi kupamba moto, hasa baada...

Livembe: Mchakato wa Uchaguzi ulikuwa wa haki na halali

Na Mwandishi Wetu MWENYEKITI wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Tanzania (JWT), Hamis Livembe, amesema mchakato wa...

More like this

Kids Holiday Festival yawavuta mamia ya watoto, CRDB yatumia jukwaa kujenga uelewa wa fedha

Na Mwandishi Wetu BURUDANI na michezo mbalimbali vilitawala Tamasha la Kids Holiday Festival lililowakusanya...

Serikali yaahidi kuimarisha uwezeshaji wa Makundi Maalum kupitia ajenda ya Maendeleo Jumuishi

Na Tatu Mohamed WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt....

Mavazi ya kitamaduni kivutio kingine AFCON 2025

Na Winfrida Mtoi SHAMRASHAMRA kuelekea Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON-2025), zimezidi kupamba moto, hasa baada...