Tuzo za TFF za msimu wa 2024/25 zayeyuka

Na Mwandishi Wetu

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetoa taarifa ya kuahirisha hafla ya utoaji tuzo za msimu  wa 2024/25 ziliyopangwa kufanyika Desemba 5, 2025, jijini Dar es Salaam.

Kwa mujibu wa taarifa hiyo,  kuahirishwa kumetokana na sababu zilizo nje ya uwezo wa waandaaji ambao ni shirikisho hilo.

“Hatua hii imetokana na sababu zilizo nje ya uwezo wetu kwa sasa. Mara tarehe mpya itakapopangwa mtafahamishwa mara moja”. Taarifa hiyo imeeleza.

spot_img

Latest articles

Uwanja wa Mkwakwani wafungiwa

Na Mwandishi Wetu SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limeufungia Uwanja wa Mkwakwani, Tanga kutumika kwa...

Bondia Mrembo apewa Mmalawi

Na Mwandishi Wetu BONDIA Debora Mwenda maarufu Bondia Mrembo, ameahidi kuiwakilisha vizuri Tanzania dhidi ya...

Chuo cha Malya chawafunda wakufunzi wa gym

Na Winfrida Mtoi CHUO cha Maendeleo ya Michezo Malya kinaendesha mafunzo maalum kwa wakufunzi wa...

Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu  ajiuzulu TEF

Na Mwandishi Wetu MKURUGENZI wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu, Bakari Machumu amejiuzulu nafasi ya makamu...

More like this

Uwanja wa Mkwakwani wafungiwa

Na Mwandishi Wetu SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limeufungia Uwanja wa Mkwakwani, Tanga kutumika kwa...

Bondia Mrembo apewa Mmalawi

Na Mwandishi Wetu BONDIA Debora Mwenda maarufu Bondia Mrembo, ameahidi kuiwakilisha vizuri Tanzania dhidi ya...

Chuo cha Malya chawafunda wakufunzi wa gym

Na Winfrida Mtoi CHUO cha Maendeleo ya Michezo Malya kinaendesha mafunzo maalum kwa wakufunzi wa...