Mexico yatwaa taji la Miss Universe 2025, Ivory Coast namba tano

Na Mwandishi Wetu

Mexico imeibuka mshindi wa taji la Miss Universe 2025 kupitia mrembo wake Fatima Bosch, mwenye umri wa miaka 24.

Fatima, anafahamika kwa uthubutu wake licha kuishi na hali ya Dyslexia na ADHD, ambapo amegeuza uzoefu wake kuwa nguvu ya kuhamasisha na kutetea watoto, wahamiaji na jamii zilizo katika mazingira hatarishi.

Mrembo huyo ambaye pia ni mbunifu wa mavazi na amekuwa akijitolea katika shughuli mbalimbali kwa muda mrefu.

Katika tano bora, Thailand imeshika nafasi ya pili, first, ikifuatiwa na Venezuela, Philippines ya nne, na Ivory Coast ikishika namba  tano.

Katika shindano hilo la 74 la Miss Universe Tanzania lilifanyika usiku wa leo Novemba 21, 2025, katika ukumbi wa Impact Challenger Hall mjini Pak Kret, Nonthaburi, Thailand, Tanzania iliwakilishwa na Naisae Yona.

spot_img

Latest articles

BRELA YAIBUA FURSA MPYA ULINZI WA ALAMA ZA BIASHARA KWA WAJASIRIAMALI

Na Mwandishi Wetu Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) imewataka wajasiriamali wanaoshiriki...

TTB yakutanisha wadau kujadili mustakabali wa Destination Tanzania

Na Mwandishi Wetu Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) imewakutanisha wadau mbalimbali wa sekta ya...

Sangweni: Sekta ya Mafuta na Gesi Ni Chachu ya Ukuaji wa Uchumi wa Taifa

Na Mwandishi Wetu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli...

VETA Kihonda yaja ‘cold room’ kupunguza upotevu wa mazao ya wakulima

Na Mwandishi Wetu UBUNIFU wa mfumo jumuishi wa kuhifadhi mazao kwa kutumia teknolojia ya ubaridi...

More like this

BRELA YAIBUA FURSA MPYA ULINZI WA ALAMA ZA BIASHARA KWA WAJASIRIAMALI

Na Mwandishi Wetu Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) imewataka wajasiriamali wanaoshiriki...

TTB yakutanisha wadau kujadili mustakabali wa Destination Tanzania

Na Mwandishi Wetu Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) imewakutanisha wadau mbalimbali wa sekta ya...

Sangweni: Sekta ya Mafuta na Gesi Ni Chachu ya Ukuaji wa Uchumi wa Taifa

Na Mwandishi Wetu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli...