Mexico yatwaa taji la Miss Universe 2025, Ivory Coast namba tano

Na Mwandishi Wetu

Mexico imeibuka mshindi wa taji la Miss Universe 2025 kupitia mrembo wake Fatima Bosch, mwenye umri wa miaka 24.

Fatima, anafahamika kwa uthubutu wake licha kuishi na hali ya Dyslexia na ADHD, ambapo amegeuza uzoefu wake kuwa nguvu ya kuhamasisha na kutetea watoto, wahamiaji na jamii zilizo katika mazingira hatarishi.

Mrembo huyo ambaye pia ni mbunifu wa mavazi na amekuwa akijitolea katika shughuli mbalimbali kwa muda mrefu.

Katika tano bora, Thailand imeshika nafasi ya pili, first, ikifuatiwa na Venezuela, Philippines ya nne, na Ivory Coast ikishika namba  tano.

Katika shindano hilo la 74 la Miss Universe Tanzania lilifanyika usiku wa leo Novemba 21, 2025, katika ukumbi wa Impact Challenger Hall mjini Pak Kret, Nonthaburi, Thailand, Tanzania iliwakilishwa na Naisae Yona.

spot_img

Latest articles

ETDCO yaahidi kukamilisha Mradi wa Umeme katika vitongoji 372 Ruvuma kwa wakati

Na Mwandishi Wetu KAMPUNI ya Ujenzi na Ukarabati wa Miundombinu ya Usafirishaji na Usambazaji...

Wadau sekta ya Hali ya Hewa wajadili utabiri wa Masika 2026

Na Mwandishi Wetu WADAU kutoka sekta mbalimbali nchini wamekutana kujadili utabiri wa msimu wa...

WMA yafunga Mtambo wa kisasa unaohakiki Dira za Maji Dodoma

Na Mwandishi Wetu WAKALA wa Vipimo (WMA) umesimika mtambo wa kisasa wa kidijitali wa...

Benki ya CRDB yaja na ‘Benki Kimpango Wako’ yaahidi huduma bora zaidi mwaka 2026

Na Mwandishi wetu BENKI ya CRDB imezindua kampeni yake ya mwaka 2026 inayoitwa ‘Benki Kimpango...

More like this

ETDCO yaahidi kukamilisha Mradi wa Umeme katika vitongoji 372 Ruvuma kwa wakati

Na Mwandishi Wetu KAMPUNI ya Ujenzi na Ukarabati wa Miundombinu ya Usafirishaji na Usambazaji...

Wadau sekta ya Hali ya Hewa wajadili utabiri wa Masika 2026

Na Mwandishi Wetu WADAU kutoka sekta mbalimbali nchini wamekutana kujadili utabiri wa msimu wa...

WMA yafunga Mtambo wa kisasa unaohakiki Dira za Maji Dodoma

Na Mwandishi Wetu WAKALA wa Vipimo (WMA) umesimika mtambo wa kisasa wa kidijitali wa...