Mexico yatwaa taji la Miss Universe 2025, Ivory Coast namba tano

Na Mwandishi Wetu

Mexico imeibuka mshindi wa taji la Miss Universe 2025 kupitia mrembo wake Fatima Bosch, mwenye umri wa miaka 24.

Fatima, anafahamika kwa uthubutu wake licha kuishi na hali ya Dyslexia na ADHD, ambapo amegeuza uzoefu wake kuwa nguvu ya kuhamasisha na kutetea watoto, wahamiaji na jamii zilizo katika mazingira hatarishi.

Mrembo huyo ambaye pia ni mbunifu wa mavazi na amekuwa akijitolea katika shughuli mbalimbali kwa muda mrefu.

Katika tano bora, Thailand imeshika nafasi ya pili, first, ikifuatiwa na Venezuela, Philippines ya nne, na Ivory Coast ikishika namba  tano.

Katika shindano hilo la 74 la Miss Universe Tanzania lilifanyika usiku wa leo Novemba 21, 2025, katika ukumbi wa Impact Challenger Hall mjini Pak Kret, Nonthaburi, Thailand, Tanzania iliwakilishwa na Naisae Yona.

spot_img

Latest articles

Kocha Yanga ataja mbinu kuingamiza FAR Rabat

Na Mwandishi Wetu KOCHA Mkuu wa Yanga, Pedro Concalves amesema falsafa yake katika mechi ya...

Zawadi za PIKU zafungua milango ya ujasiriamali kwa Watanzania

Na Mwandishi Wetu KATIKA kudhihirisha kuwa teknolojia inabadilisha maisha ya Watanzania, Jukwaa la Kidijitali...

DC Mpogolo: viongozi wa Serikali za Mitaa ni watu muhimu Katika Usimamizi wa Huduma za Umeme

Na Tatu Mohamed VIONGOZI wa Serikali za Mitaa wametajwa kuwa watu muhimu katika kusimamia miundo...

Rais Samia aagiza Tume kuchunguza, kujua haki wanayoidai vijana

Na Mwandishi Wetu RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk.Samia Suluhu Hassan ameielekeza Tume...

More like this

Kocha Yanga ataja mbinu kuingamiza FAR Rabat

Na Mwandishi Wetu KOCHA Mkuu wa Yanga, Pedro Concalves amesema falsafa yake katika mechi ya...

Zawadi za PIKU zafungua milango ya ujasiriamali kwa Watanzania

Na Mwandishi Wetu KATIKA kudhihirisha kuwa teknolojia inabadilisha maisha ya Watanzania, Jukwaa la Kidijitali...

DC Mpogolo: viongozi wa Serikali za Mitaa ni watu muhimu Katika Usimamizi wa Huduma za Umeme

Na Tatu Mohamed VIONGOZI wa Serikali za Mitaa wametajwa kuwa watu muhimu katika kusimamia miundo...