Zulfa Macho atinga fainali ya ngumi Zone 3 Afrika

Na Mwandishi Wetu

Bondia Mtanzania Zulfa Macho amemchapa kwa pointi Bisambu Deborah wa DR Congo katika pambano la nusu fainali ya mashindano ya ngumi ya Kanda ya Tatu Afrika, yanayoendelea Nairobi, Kenya.

Ushindi huo umemfanya Zulfa kulipa kisasi kwa bondia huyo ambaye mwaka 2024 alimpiga a kwa pointi 3-2 dhidi katika Mashindano ya Afrika yaliyofanyika Kinshasa, DR Congo.

Katika mchezo wa fainali Zulfa anayechezea uzito wa kilo 54(Bantamweight), atakutana na Amina Martha kutoka Kenya Ijumaa Oktoka 24,2025.

Martha ni mshindi wa medali katika mashindano ya Mataifa ya Afrika (African Games) yaliyofanyika Accra, Ghana 2024.

spot_img

Latest articles

Mnyama Simba afia kwa Mkapa, Yanga, Azam kicheko

Na Winfrida Mtoi LIGI Kuu Tanzania Bara imeendelea leo Novemba 7, 2025 kwa michezo miwili...

Waziri Aweso aweka kambi Dar kupambana na changamoto upungufu wa maji

Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Maji, Jumaa Aweso (Mb) amefanya ziara ya kikazi katika...

Waziri wa Nishati Ndejembi azindua rasmi mita janja

Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Nishati, Deogratius Ndejembi amezindua rasmi mita janja (smart meter)...

RC Kunenge: Mto Ruvu ubaki kwa matumizi ya binadamu tu, tusitishe shughuli nyingine kwa muda

Na Mwandishi Wetu MKUU wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, ametoa wito kwa wakulima...

More like this

Mnyama Simba afia kwa Mkapa, Yanga, Azam kicheko

Na Winfrida Mtoi LIGI Kuu Tanzania Bara imeendelea leo Novemba 7, 2025 kwa michezo miwili...

Waziri Aweso aweka kambi Dar kupambana na changamoto upungufu wa maji

Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Maji, Jumaa Aweso (Mb) amefanya ziara ya kikazi katika...

Waziri wa Nishati Ndejembi azindua rasmi mita janja

Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Nishati, Deogratius Ndejembi amezindua rasmi mita janja (smart meter)...