Simba kuwania tuzo ya Klabu Bora Afrika, Kapombe mchezaji bora

Na Mwandishi Wetu

Klabu ya Simba imeteuliwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF), kuwania tuzo ya Klabu Bora Afrika (Club of the Year) kwa mwaka wa mashindano wa 2025.

Simba imeingia katika mchujo wa kuwania tuzo hiyo  ikichuana na timu 10 ambazo ni Cr Belouizdad, Constantine, Al hilal Omdurman, Zamalek, Stellenbosch, Rs Berkane, Mamelod Sundwons, Orlando Pirate, Pyramids pamoja na Asec Mimosas.

Kwa upande wa wachezaji, Nahodha wa klabu ya Simba, Shomari Kapombe ametajwa kwenye orodha ya wachezaji 10 wanaowania tuzo ya mchezaji bora wa  klabu kwa Afrika kwa mwaka 2025.

Wachezaji wanaochuana nao ni  Fiston Kalala Mayele (Pyramids FC), Ismail Belkacemi (Al Ahli ya Libya),  lbrahim Blati Touré(Pyramids), Issoufou Dayo( aliyekuwa RS Berkane) na Emam Ashour (Al Ahly), Ibrahim Adel(aliyekuwa Pyramids), Mohamed Hrimat (AS FAR Rabat), Mohamed Chibi (Pyramids) na Oussama Lamlioui (RS Berkane).




spot_img

Latest articles

Dkt. Matarajio aagiza vifaa vyote vya uhakiki wa jotoardhi Ziwa Ngozi kufika kwa wakati

Na Mwandishi Wetu NAIBU Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Dkt. James Mataragio ameliagiza Shirika...

Viongozi wa dini Kaskazini wahimiza amani kuelekea Uchaguzi Mkuu

Na Mwandishi Wetu, Moshi VIONGOZI wa dini kutoka mikoa ya kanda ya kaskazini, wamewataka Watanzania...

Zulfa Macho atinga fainali ya ngumi Zone 3 Afrika

Na Mwandishi Wetu Bondia Mtanzania Zulfa Macho amemchapa kwa pointi Bisambu Deborah wa DR Congo...

Heche akamatwa na Polisi Dar, apelekwa Tarime

Na Mwandishi Wetu Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)Tanzania Bara, John Heche,...

More like this

Dkt. Matarajio aagiza vifaa vyote vya uhakiki wa jotoardhi Ziwa Ngozi kufika kwa wakati

Na Mwandishi Wetu NAIBU Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Dkt. James Mataragio ameliagiza Shirika...

Viongozi wa dini Kaskazini wahimiza amani kuelekea Uchaguzi Mkuu

Na Mwandishi Wetu, Moshi VIONGOZI wa dini kutoka mikoa ya kanda ya kaskazini, wamewataka Watanzania...

Zulfa Macho atinga fainali ya ngumi Zone 3 Afrika

Na Mwandishi Wetu Bondia Mtanzania Zulfa Macho amemchapa kwa pointi Bisambu Deborah wa DR Congo...