Simba kuwania tuzo ya Klabu Bora Afrika, Kapombe mchezaji bora

Na Mwandishi Wetu

Klabu ya Simba imeteuliwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF), kuwania tuzo ya Klabu Bora Afrika (Club of the Year) kwa mwaka wa mashindano wa 2025.

Simba imeingia katika mchujo wa kuwania tuzo hiyo  ikichuana na timu 10 ambazo ni Cr Belouizdad, Constantine, Al hilal Omdurman, Zamalek, Stellenbosch, Rs Berkane, Mamelod Sundwons, Orlando Pirate, Pyramids pamoja na Asec Mimosas.

Kwa upande wa wachezaji, Nahodha wa klabu ya Simba, Shomari Kapombe ametajwa kwenye orodha ya wachezaji 10 wanaowania tuzo ya mchezaji bora wa  klabu kwa Afrika kwa mwaka 2025.

Wachezaji wanaochuana nao ni  Fiston Kalala Mayele (Pyramids FC), Ismail Belkacemi (Al Ahli ya Libya),  lbrahim Blati Touré(Pyramids), Issoufou Dayo( aliyekuwa RS Berkane) na Emam Ashour (Al Ahly), Ibrahim Adel(aliyekuwa Pyramids), Mohamed Hrimat (AS FAR Rabat), Mohamed Chibi (Pyramids) na Oussama Lamlioui (RS Berkane).




spot_img

Latest articles

ETDCO yaahidi kukamilisha Mradi wa Umeme katika vitongoji 372 Ruvuma kwa wakati

Na Mwandishi Wetu KAMPUNI ya Ujenzi na Ukarabati wa Miundombinu ya Usafirishaji na Usambazaji...

Wadau sekta ya Hali ya Hewa wajadili utabiri wa Masika 2026

Na Mwandishi Wetu WADAU kutoka sekta mbalimbali nchini wamekutana kujadili utabiri wa msimu wa...

WMA yafunga Mtambo wa kisasa unaohakiki Dira za Maji Dodoma

Na Mwandishi Wetu WAKALA wa Vipimo (WMA) umesimika mtambo wa kisasa wa kidijitali wa...

Benki ya CRDB yaja na ‘Benki Kimpango Wako’ yaahidi huduma bora zaidi mwaka 2026

Na Mwandishi wetu BENKI ya CRDB imezindua kampeni yake ya mwaka 2026 inayoitwa ‘Benki Kimpango...

More like this

ETDCO yaahidi kukamilisha Mradi wa Umeme katika vitongoji 372 Ruvuma kwa wakati

Na Mwandishi Wetu KAMPUNI ya Ujenzi na Ukarabati wa Miundombinu ya Usafirishaji na Usambazaji...

Wadau sekta ya Hali ya Hewa wajadili utabiri wa Masika 2026

Na Mwandishi Wetu WADAU kutoka sekta mbalimbali nchini wamekutana kujadili utabiri wa msimu wa...

WMA yafunga Mtambo wa kisasa unaohakiki Dira za Maji Dodoma

Na Mwandishi Wetu WAKALA wa Vipimo (WMA) umesimika mtambo wa kisasa wa kidijitali wa...