JBIC na JICA waahidi ushirikiano kwa ETDCO

Na Mwandishi Wetu

TAASISI ya Japan Bank for International Cooperation (JBIC) pamoja na Japan International Cooperation Agency (JICA) zimeahidi kushirikiana na Kampuni ya Ujenzi na Ukarabati wa Miundombinu ya Umeme (ETDCO) katika utekelezaji wa miradi yake ya ujenzi na ukarabati wa miundombinu ya umeme nchini Tanzania, ikiwemo uwekezaji wa kimkakati.

Wakizungumza katika vikao kazi vilivyofanyika, jijini Tokyo, Japan, viongozi kutoka JBIC na JICA wameeleza dhamira yao ya kushirikiana na ETDCO katika nyanja za uwekezaji, uhamishaji wa teknolojia na utekelezaji wa miradi ya Nishati nchini Tanzania itakayo saidia kuimarisha hali ya upatikanaji wa Nishati ya umeme.

Vikao kazi hivyo ni mwendelezo wa mafanikio ya ETDCO katika Maonesho ya Dunia (Expo 2025) yanayofanyika Osaka, Japan, ambapo Kampuni hiyo inaendelea kujitangaza kimataifa na kuimarisha mtandao wa ushirikiano kwa ajili ya kuharakisha utekelezaji wa miradi yake.

spot_img

Latest articles

Utendaji kazi wa Wizara ya Nishati na Taasisi zake waimarika

Na Mwandishi Wetu IMEELEZWA kuwa, utendaji kazi wa Wizara ya Nishati kupitia Taasisi inazosisimamia...

Mashabiki Simba kujichanga kulipa faini ya CAF

Na Winfrida Mtoi, The Media Brains KLABU ya Simba imewatangazia wanachama na mashabiki wa timu...

Yanga yakiri vita ya kupambana na jezi feki ngumu

Na Winfrida Mtoi, The Media Brains UONGOZI wa Klabu ya Yanga umekiri kuwa vita ya...

Mahakama Kuu yaruhusu ACT Wazalendo, Mpina kufungua Shauri kupinga maamuzi ya Msajili

Na Mwandishi Wetu MAHAMAMA Kuu ya Tanzania (Masjala Kuu Dodoma) imetoa kibali kwa Chama...

More like this

Utendaji kazi wa Wizara ya Nishati na Taasisi zake waimarika

Na Mwandishi Wetu IMEELEZWA kuwa, utendaji kazi wa Wizara ya Nishati kupitia Taasisi inazosisimamia...

Mashabiki Simba kujichanga kulipa faini ya CAF

Na Winfrida Mtoi, The Media Brains KLABU ya Simba imewatangazia wanachama na mashabiki wa timu...

Yanga yakiri vita ya kupambana na jezi feki ngumu

Na Winfrida Mtoi, The Media Brains UONGOZI wa Klabu ya Yanga umekiri kuwa vita ya...