Simbu afichua siri ya ushindi

Na Winfrida Mtoi

Bingwa wa Dunia wa mbio za Marathoni za kilomita 42, ambaye ni Askari wa Jeshi la Wananchi la Tanzania (JWTZ), Sajenti Alphonce Simbu, amesema si rahisi kushinda lakini ukijiandaa, kujituma na kufanya juhudi, unafanikiwa.

Simbu ambaye ameshinda medali ya dhahabu katika mashindano yaliyofanyika Tokyo, nchini Japan, amewaslli leo saa 9:13 alfajiri na kupokelewa na watu mbalimbali pamoja na familia yake.

Akizungumza baada ya kuwasili amewataka wanamichezo wa kitanzania hasa riadha, kufanya juhudi na kujiandaa na wasikate tamaa katika kufikia ndoto zao.

“Niwasihi tu wachezaji wa kitanzania kwamba wanaweza na wasikate tamaa kwa sababu ukikata tamaa unaweza usifikie ndoto zako. Niwaambie tu juhudi, kujituma na nidhamu zinasaidia,” amesema Simbu.

Simbu aliibuka mshindi akitumia muda wa 2:09:48, akiwashinda wanariadha 89 kutoka nchi mbalimbali.

spot_img

Latest articles

Baraza ataja mbinu za kuimaliza Yanga

Na Winfrida Mtoi Kocha Mkuu wa timu ya Pamba Jiji, Francis Baraza amesema hana presha...

Kocha Simba aaga, atangazwa Raja Casablanca

Na Mwandishi Wetu Aliyekuwa Kocha Mkuu wa Simba, Fadlu Davids ameaga rasmi wadau na mashabiki...

TARURA kushirikiana na Kampuni ya Sukari Kilombero kufanya matengenezo ya Barabara

Na Mwandishi Wetu WAKALA wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) kwa kushirikiana na...

THBUB yawaasa waandishi wa habari kuelekea uchaguzi mkuu

Na Mwandishi Wetu TUME ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB), imewaasa waandishi wa...

More like this

Baraza ataja mbinu za kuimaliza Yanga

Na Winfrida Mtoi Kocha Mkuu wa timu ya Pamba Jiji, Francis Baraza amesema hana presha...

Kocha Simba aaga, atangazwa Raja Casablanca

Na Mwandishi Wetu Aliyekuwa Kocha Mkuu wa Simba, Fadlu Davids ameaga rasmi wadau na mashabiki...

TARURA kushirikiana na Kampuni ya Sukari Kilombero kufanya matengenezo ya Barabara

Na Mwandishi Wetu WAKALA wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) kwa kushirikiana na...