Wizara yateua viongozi wa muda Kamisheni ya Ngumi

Na Mwandishi Wetu

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Profesa Palamagamba Kabudi, amemteua mwandishi wa habari, Patrick Nyembera kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Kamisheni ya Ngumi za Kulipwa nchini (TPBRC), baada ya kamati ya awali kumaliza muda wake.

Nyembera ataiongoza kamati hiyo ya muda ya TPBRC, yenye jumla ya wajumbe sita akiwamo Makamu wake Jacob Mbuya .

Kwa mujibu wa taarifa ya Wizara iliyotolewa leo Agosti 15, 2025 Profesa Kabudi ameipa kamati hiyo siku 90 (kuanzia Julai 29 hadi Oktoba 29) kukamilisha marekebisho ya katiba na kuitisha uchaguzi mkuu.

Wengine walioteuliwa  ni Gordon Nsajigwa (Katibu), wajumbe ni Shafii Dauda, Irene Mwasanga na Ibrahim Abbas Kamwe.

spot_img

Latest articles

TMA yatoa mwelekeo wa mvua za Masika Machi hadi Mei 2026

Na Tatu Mohamed  MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa mwelekeo wa mvua za...

Simba yataka Polisi iwashughulikie waliomkashfu bosi

Na Mwandishi Wetu KLABU ya Simba imeliandikia barua Jeshi la Polisi  ili kuwachukulia...

Waraka kwa Waziri Paul Christian Makonda

Katika dunia tunayoishi sasa michezo ni sekta inayoshikilia uchumi mkubwa. Wanamichezo wengi wamekuwa mabilionea...

ETDCO yaahidi kukamilisha Mradi wa Umeme katika vitongoji 372 Ruvuma kwa wakati

Na Mwandishi Wetu KAMPUNI ya Ujenzi na Ukarabati wa Miundombinu ya Usafirishaji na Usambazaji...

More like this

TMA yatoa mwelekeo wa mvua za Masika Machi hadi Mei 2026

Na Tatu Mohamed  MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa mwelekeo wa mvua za...

Simba yataka Polisi iwashughulikie waliomkashfu bosi

Na Mwandishi Wetu KLABU ya Simba imeliandikia barua Jeshi la Polisi  ili kuwachukulia...

Waraka kwa Waziri Paul Christian Makonda

Katika dunia tunayoishi sasa michezo ni sekta inayoshikilia uchumi mkubwa. Wanamichezo wengi wamekuwa mabilionea...