Yanga yaomba radhi mashabiki, yafafanua kuhusu mchango wa milioni 100 kwa CCM

Na Mwandishi Wetu

Klabu ya Yanga imewaomba radhi mashabiki wake na kutoa kuhusu fedha kiasi cha sh 100 milioni walizotoa mchango katika harambee ya kuchangia Chama Cha Mapinduzi (CCM) ili kufanikisha kampeni za Uchaguzi Mkuu, Oktoba 29,2025.

Yanga imeomba radhi katika taarifa yake iliyotoa kwa Umma leo Agosti 14, 2025 baada ya mashabiki wake kuja juu mitandaoni wakiibua mijadala wakihisi fedha zilizotumika ni za wanachama.

Katika taarifa hiyo imefafanua kuwa fedha za mchango kwa CCM Agosti 12, 2025 zimetoka katika Taasisi ya GSM Foundation iliyopo chini ya mfadhili wa klabu hiyo, Ghalib Said.

spot_img

Latest articles

Dk. Mwigulu ajadiliana na Kamati ya Maandalizi AFCON 2027

Na Mwandishi Wetu WAZIRI Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba amekutana na  Kamati ya Kitaifa ya Maandalizi...

Coastal Union yawatembezea kichapo maafande wa Magereza

Na Mwandishi Wetu TIMU ya Coastal Union imetembeza kichapo cha mabao 4-1 kwa maafande wa...

Simba yazitaka pointi tatu kwa KMC kesho

Na Winfrida Mtoi KOCHA Mkuu wa timu ya Simba, Steve Barker ameweka wazi kuwa hakuna...

Msajili wa Hazina aikaribisha Jeune Afrique Media Group kuangazia fursa za uwekezaji

Na Mwandishi Wetu MSAJILI wa Hazina, Nehemiah Mchechu, amekutana na kufanya mazungumzo na Frederic...

More like this

Dk. Mwigulu ajadiliana na Kamati ya Maandalizi AFCON 2027

Na Mwandishi Wetu WAZIRI Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba amekutana na  Kamati ya Kitaifa ya Maandalizi...

Coastal Union yawatembezea kichapo maafande wa Magereza

Na Mwandishi Wetu TIMU ya Coastal Union imetembeza kichapo cha mabao 4-1 kwa maafande wa...

Simba yazitaka pointi tatu kwa KMC kesho

Na Winfrida Mtoi KOCHA Mkuu wa timu ya Simba, Steve Barker ameweka wazi kuwa hakuna...