Yanga yaomba radhi mashabiki, yafafanua kuhusu mchango wa milioni 100 kwa CCM

Na Mwandishi Wetu

Klabu ya Yanga imewaomba radhi mashabiki wake na kutoa kuhusu fedha kiasi cha sh 100 milioni walizotoa mchango katika harambee ya kuchangia Chama Cha Mapinduzi (CCM) ili kufanikisha kampeni za Uchaguzi Mkuu, Oktoba 29,2025.

Yanga imeomba radhi katika taarifa yake iliyotoa kwa Umma leo Agosti 14, 2025 baada ya mashabiki wake kuja juu mitandaoni wakiibua mijadala wakihisi fedha zilizotumika ni za wanachama.

Katika taarifa hiyo imefafanua kuwa fedha za mchango kwa CCM Agosti 12, 2025 zimetoka katika Taasisi ya GSM Foundation iliyopo chini ya mfadhili wa klabu hiyo, Ghalib Said.

spot_img

Latest articles

TMA yatoa mwelekeo wa mvua za Masika Machi hadi Mei 2026

Na Tatu Mohamed  MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa mwelekeo wa mvua za...

Simba yataka Polisi iwashughulikie waliomkashfu bosi

Na Mwandishi Wetu KLABU ya Simba imeliandikia barua Jeshi la Polisi  ili kuwachukulia...

Waraka kwa Waziri Paul Christian Makonda

Katika dunia tunayoishi sasa michezo ni sekta inayoshikilia uchumi mkubwa. Wanamichezo wengi wamekuwa mabilionea...

ETDCO yaahidi kukamilisha Mradi wa Umeme katika vitongoji 372 Ruvuma kwa wakati

Na Mwandishi Wetu KAMPUNI ya Ujenzi na Ukarabati wa Miundombinu ya Usafirishaji na Usambazaji...

More like this

TMA yatoa mwelekeo wa mvua za Masika Machi hadi Mei 2026

Na Tatu Mohamed  MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa mwelekeo wa mvua za...

Simba yataka Polisi iwashughulikie waliomkashfu bosi

Na Mwandishi Wetu KLABU ya Simba imeliandikia barua Jeshi la Polisi  ili kuwachukulia...

Waraka kwa Waziri Paul Christian Makonda

Katika dunia tunayoishi sasa michezo ni sekta inayoshikilia uchumi mkubwa. Wanamichezo wengi wamekuwa mabilionea...