Yanga yaomba radhi mashabiki, yafafanua kuhusu mchango wa milioni 100 kwa CCM

Na Mwandishi Wetu

Klabu ya Yanga imewaomba radhi mashabiki wake na kutoa kuhusu fedha kiasi cha sh 100 milioni walizotoa mchango katika harambee ya kuchangia Chama Cha Mapinduzi (CCM) ili kufanikisha kampeni za Uchaguzi Mkuu, Oktoba 29,2025.

Yanga imeomba radhi katika taarifa yake iliyotoa kwa Umma leo Agosti 14, 2025 baada ya mashabiki wake kuja juu mitandaoni wakiibua mijadala wakihisi fedha zilizotumika ni za wanachama.

Katika taarifa hiyo imefafanua kuwa fedha za mchango kwa CCM Agosti 12, 2025 zimetoka katika Taasisi ya GSM Foundation iliyopo chini ya mfadhili wa klabu hiyo, Ghalib Said.

spot_img

Latest articles

Rasmi Kocha Yanga afungashiwa virago usiku

Na Mwandishi Wetu Uongozi wa Klabu ya Yanga umevunja mkataba na Kocha Mkuu, Romain Folz. ...

Mwanamke ashikiliwa  Polisi kwa  kumuua mume wake na kumfukia ndani ya nyumba yao

Na Mwandishi Wetu Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita linamshikilia mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina...

Padre aliyepotea apatikana akiwa hai

Na Mwandishi Wetu Jeshi la Polisi mkoani Ruvuma limefanikiwa kumpata Padre Camillus Nikata wa Jimbo...

More like this

Rasmi Kocha Yanga afungashiwa virago usiku

Na Mwandishi Wetu Uongozi wa Klabu ya Yanga umevunja mkataba na Kocha Mkuu, Romain Folz. ...

Mwanamke ashikiliwa  Polisi kwa  kumuua mume wake na kumfukia ndani ya nyumba yao

Na Mwandishi Wetu Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita linamshikilia mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina...