Taifa Stars yaendeleza ubabe CHAN

Na Winfrida Mtoi

Bao pekee la Shomary Kapombe dakika ya 89, limeipa ushindi wa 1-0 Taifa Stars dhidi ya Mauritania katika mchezo wa michuano ya CHAN kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.

Ushindi huo wa Stars unakuwa wa pili mfululizo baada ya mechi iliyopita ya ufunguzi wa michuano hiyo kushinda 2-0 dhidi ya Burkina Faso.

Taifa Stars inaongoza kundi B baada ya kufikisha pointi 6 na kujiweka nafasi nzuri ya kutinga robo fainali.

spot_img

Latest articles

Rasmi Kocha Yanga afungashiwa virago usiku

Na Mwandishi Wetu Uongozi wa Klabu ya Yanga umevunja mkataba na Kocha Mkuu, Romain Folz. ...

Mwanamke ashikiliwa  Polisi kwa  kumuua mume wake na kumfukia ndani ya nyumba yao

Na Mwandishi Wetu Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita linamshikilia mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina...

Padre aliyepotea apatikana akiwa hai

Na Mwandishi Wetu Jeshi la Polisi mkoani Ruvuma limefanikiwa kumpata Padre Camillus Nikata wa Jimbo...

More like this

Rasmi Kocha Yanga afungashiwa virago usiku

Na Mwandishi Wetu Uongozi wa Klabu ya Yanga umevunja mkataba na Kocha Mkuu, Romain Folz. ...

Mwanamke ashikiliwa  Polisi kwa  kumuua mume wake na kumfukia ndani ya nyumba yao

Na Mwandishi Wetu Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita linamshikilia mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina...