Mnyama Simba anaachia tu vifaa vyake

Na Mwandishi Wetu

Klabu ya Simba leo Julai 30, 2025, imemtambulisha Alassane Kante raia wa Senegal , akitokea CA Bizertin ya Tunisia.

Kiungo huyo mkabaji mwenye umri wa miaka 24, amesaini mkataba wa miaka miwili.

Wanamsimbazi hao walianza rasmi jana kuanika usajili wao kwa kumtambulisha beki Rushine De Reuck raia wa Afrika Kusini akitokea klabu ya Mamelody Sundowns.

spot_img

Latest articles

Rasmi Kocha Yanga afungashiwa virago usiku

Na Mwandishi Wetu Uongozi wa Klabu ya Yanga umevunja mkataba na Kocha Mkuu, Romain Folz. ...

Mwanamke ashikiliwa  Polisi kwa  kumuua mume wake na kumfukia ndani ya nyumba yao

Na Mwandishi Wetu Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita linamshikilia mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina...

Padre aliyepotea apatikana akiwa hai

Na Mwandishi Wetu Jeshi la Polisi mkoani Ruvuma limefanikiwa kumpata Padre Camillus Nikata wa Jimbo...

More like this

Rasmi Kocha Yanga afungashiwa virago usiku

Na Mwandishi Wetu Uongozi wa Klabu ya Yanga umevunja mkataba na Kocha Mkuu, Romain Folz. ...

Mwanamke ashikiliwa  Polisi kwa  kumuua mume wake na kumfukia ndani ya nyumba yao

Na Mwandishi Wetu Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita linamshikilia mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina...