Gambo aenguliwa, CCM yateua watia nia saba kura za maoni Arusha Mjini

Na Mwandishi Wetu

KAMATI Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) imewateua watia nia saba kuingia katika mchakato wa kura za maoni kwa nafasi ya Ubunge wa Arusha Mjini, huku Mbunge wa sasa, Mrisho Gambo, akiwekwa kando.

Akizungumza na waandishi wa habari leo Julai 29, 2025 Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM) ametaja majina ya watakaopigiwa kura Agosti 4, 2025, ni Ally Babu, Hussein Gonga, Aminata Taure, Mustafa Nasoro, Paul Makonda, Rwembo Mgweno na Jasper Kishumbua.

Gambo, ambaye aliingia bungeni kwa kipindi cha kwanza kupitia jimbo hilo, hatakuwa sehemu ya mchakato huo.

Kabla ya ubunge, alihudumu kama Mkuu wa Mkoa wa Arusha, nafasi ambayo ilimuweka karibu na siasa za mkoa huo kwa muda mrefu.

spot_img

Latest articles

Rasmi Kocha Yanga afungashiwa virago usiku

Na Mwandishi Wetu Uongozi wa Klabu ya Yanga umevunja mkataba na Kocha Mkuu, Romain Folz. ...

Mwanamke ashikiliwa  Polisi kwa  kumuua mume wake na kumfukia ndani ya nyumba yao

Na Mwandishi Wetu Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita linamshikilia mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina...

Padre aliyepotea apatikana akiwa hai

Na Mwandishi Wetu Jeshi la Polisi mkoani Ruvuma limefanikiwa kumpata Padre Camillus Nikata wa Jimbo...

More like this

Rasmi Kocha Yanga afungashiwa virago usiku

Na Mwandishi Wetu Uongozi wa Klabu ya Yanga umevunja mkataba na Kocha Mkuu, Romain Folz. ...

Mwanamke ashikiliwa  Polisi kwa  kumuua mume wake na kumfukia ndani ya nyumba yao

Na Mwandishi Wetu Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita linamshikilia mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina...