Polisi Babati yawafikia vijana wacheza pool table

Na Mwandishi Wetu

Jeshi la Polisi Wilaya ya Babati mkoani  Manyara limewataka vijana kuacha tabia ya kukaa vijiweni na kucheza pool table asubuhi badala yake wajishughulishe na kazi halali za kujipatia kipato ili kuepuka kujiingiza katika matukio ya uhalifu

Wito huo umetolewa na Polisi Kata ya Duru Wilaya ya Babati,  Mkaguzi wa Polisi Fadhil Mgeta , Julai 21, 2025 wakati akitoa elimu ya madhara ya kukaa kijiweni bila kufanya kazi kwa vijana  katika Kijiji cha Qatadium Kata ya Duru.

Pia ametoa onyo kwa vijana hao kuacha kujihusisha na matukio ya uhalifu kwani ni kosa la jinai na Jeshi la Polisi halitavimilia mtu au watu watakaobainika.

spot_img

Latest articles

 ‘Umimi’ wa viongozi unaua Jumuiya Afrika Mashariki

KATIKATI ya miaka ya 90 wakati mfumo wa vyama vingi unaota mizizi, lilitokea wazo...

Wanafunzi watatu wafariki dunia baada ya kupigwa na radi Dar

Na Mwandishi wetu WANAFUNZI watatu wa Shule ya Msingi Msongola iliyopo eneo la Msongola,...

Serikali yawataka Wakurugenzi kuongeza thamani inayopimika katika uwekezaji wa hisa chache

Na Mwandishi wetu SERIKALI imewataka wakurugenzi wa bodi za kampuni ambazo ina umiliki wa...

Tanesco yazindua ndege nyuki (Drones) kuboresha miundombinu ya umeme nchini

📌Ni sehemu ya utekelezaji wa mikakati yake kuimarisha huduma kwa wateja kwa kutumia njia...

More like this

 ‘Umimi’ wa viongozi unaua Jumuiya Afrika Mashariki

KATIKATI ya miaka ya 90 wakati mfumo wa vyama vingi unaota mizizi, lilitokea wazo...

Wanafunzi watatu wafariki dunia baada ya kupigwa na radi Dar

Na Mwandishi wetu WANAFUNZI watatu wa Shule ya Msingi Msongola iliyopo eneo la Msongola,...

Serikali yawataka Wakurugenzi kuongeza thamani inayopimika katika uwekezaji wa hisa chache

Na Mwandishi wetu SERIKALI imewataka wakurugenzi wa bodi za kampuni ambazo ina umiliki wa...