Polisi Babati yawafikia vijana wacheza pool table

Na Mwandishi Wetu

Jeshi la Polisi Wilaya ya Babati mkoani  Manyara limewataka vijana kuacha tabia ya kukaa vijiweni na kucheza pool table asubuhi badala yake wajishughulishe na kazi halali za kujipatia kipato ili kuepuka kujiingiza katika matukio ya uhalifu

Wito huo umetolewa na Polisi Kata ya Duru Wilaya ya Babati,  Mkaguzi wa Polisi Fadhil Mgeta , Julai 21, 2025 wakati akitoa elimu ya madhara ya kukaa kijiweni bila kufanya kazi kwa vijana  katika Kijiji cha Qatadium Kata ya Duru.

Pia ametoa onyo kwa vijana hao kuacha kujihusisha na matukio ya uhalifu kwani ni kosa la jinai na Jeshi la Polisi halitavimilia mtu au watu watakaobainika.

spot_img

Latest articles

Rasmi Kocha Yanga afungashiwa virago usiku

Na Mwandishi Wetu Uongozi wa Klabu ya Yanga umevunja mkataba na Kocha Mkuu, Romain Folz. ...

Mwanamke ashikiliwa  Polisi kwa  kumuua mume wake na kumfukia ndani ya nyumba yao

Na Mwandishi Wetu Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita linamshikilia mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina...

Padre aliyepotea apatikana akiwa hai

Na Mwandishi Wetu Jeshi la Polisi mkoani Ruvuma limefanikiwa kumpata Padre Camillus Nikata wa Jimbo...

More like this

Rasmi Kocha Yanga afungashiwa virago usiku

Na Mwandishi Wetu Uongozi wa Klabu ya Yanga umevunja mkataba na Kocha Mkuu, Romain Folz. ...

Mwanamke ashikiliwa  Polisi kwa  kumuua mume wake na kumfukia ndani ya nyumba yao

Na Mwandishi Wetu Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita linamshikilia mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina...