RC Chalamila akutana na Meya wa Jiji la DALAS-Marekani

Na Mwandishi Wetu

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila leo Julai 21,2025 amekutana na kufanya mazungumzo na Meya wa Jiji la Dallas nchini Marekani, Eric Johnson akiwa ameambatana na ujumbe kutoka Jiji hilo ofisini kwake Ilala Boma Jijini Dar es Salaam.

Katika mazungumzo yao mambo mbalimbali yamejadiliwa ikiwemo kukuza mahususiano ya kibiashara, uwekezaji, na utalii kwa lengo kukuza uchumi wa pande zote mbili.

Aidha ujio wa Meya wa Jiji la Dallas nchini Marekani ni ishara ya kuimarika kwa Diplomasia ya Kimataifa kati ya Tanzania na Marekani vilevile uongozi mahiri wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan katika kukuza mahususiano ya kidiplomasia ndani na nje ya nchi.

spot_img

Latest articles

Mwakinyo kuilipia kisasi Taifa Stars dhidi ya Mnigeria kesho, Furahi apania rekodi

Na Winfrida Mtoi BONDIA wa kimataifa wa Tanzania, Hassan Mwakinyo, ameweka bayana kuwa pambano lake...

Serikali kuendelea kuwawezesha vijana kijamii, kiuchumi

Na Tatu Mohamed WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais – Maendeleo ya Vijana, Joel...

Kids Holiday Festival yawavuta mamia ya watoto, CRDB yatumia jukwaa kujenga uelewa wa fedha

Na Mwandishi Wetu BURUDANI na michezo mbalimbali vilitawala Tamasha la Kids Holiday Festival lililowakusanya...

Mambo: Demokrasia haijengwi kwa mashinikizo, vitisho

Na Mwandishi Wetu ALIYEKUWA Mgombea wa Bavicha Taifa, Masoud Mambo amesema kuwa demokrasia ya...

More like this

Mwakinyo kuilipia kisasi Taifa Stars dhidi ya Mnigeria kesho, Furahi apania rekodi

Na Winfrida Mtoi BONDIA wa kimataifa wa Tanzania, Hassan Mwakinyo, ameweka bayana kuwa pambano lake...

Serikali kuendelea kuwawezesha vijana kijamii, kiuchumi

Na Tatu Mohamed WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais – Maendeleo ya Vijana, Joel...

Kids Holiday Festival yawavuta mamia ya watoto, CRDB yatumia jukwaa kujenga uelewa wa fedha

Na Mwandishi Wetu BURUDANI na michezo mbalimbali vilitawala Tamasha la Kids Holiday Festival lililowakusanya...