Yanga Bingwa Ligi Kuu msimu wa 2024/25

Na Mwandishi Wetu

Yanga imefanikiwa kutetea ubingwa wake wa Ligi Kuu Tanzania Bara kwa kuichapa Simba mabao 2-0, kwenye Uwanja wa Benjamini Mkapa, Dar es Salaam. Ubingwa huo unakuwa wa mara ya nne mfululizo na mara ya 31 tangu kuanzishwa kwa ligi hiyo.

Katika mechi hiyo ya kibabe iliyokuwa inaamua bingwa ni nani baada ya vuta ni kuvute za kuahirishwa kwa mchezo huo, mabao ya Yanga yalifungwa na Pacome Zouzoua dakika ya 66 kwa mkwaju wa penalti na Clement Mzize dakika ya 86.

spot_img

Latest articles

Tumepata somo, tulitumie kukomesha wasiojulikana

LIPO tumaini. Ndivyo inavyoweza kuelezwa kwamba hata katika kiza cha usiku kuna tumaini la...

Tanzania, Msumbiji  kuimarisha uhusiano kibiashara 

Na Mwandishi Wetu Rais Samia  Suluhu Hassan, amesema  Tanzania itaendelea kushirikiana na   Msumbiji katika  kuleta maendeleo , ustawi wa...

Malalamiko 461 Yawasilishwa EWURA Kwa Miaka Miwili

Na Tatu Mohamed  MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imesema katika...

Wanaume wana haki ya kulindwa- IGP Wambura

Na Mwandishi Wetu Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Camillus Wambura amesema wanaume nchini...

More like this

Tumepata somo, tulitumie kukomesha wasiojulikana

LIPO tumaini. Ndivyo inavyoweza kuelezwa kwamba hata katika kiza cha usiku kuna tumaini la...

Tanzania, Msumbiji  kuimarisha uhusiano kibiashara 

Na Mwandishi Wetu Rais Samia  Suluhu Hassan, amesema  Tanzania itaendelea kushirikiana na   Msumbiji katika  kuleta maendeleo , ustawi wa...

Malalamiko 461 Yawasilishwa EWURA Kwa Miaka Miwili

Na Tatu Mohamed  MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imesema katika...