Mwamuzi kutoka Misri kuchezesha Dabi ya Kariakoo

Na Mwandishi Wetu

Bodi ya Ligi Kuu  Tanzania Bara imemtangaza mwamuzi Amin Omar kutoka Misri kuwa mwamuzi wa kati wa mchezo wa Dabi ya Kariakoo, Yanga dhidi ya Simba, utakaopigwa  keshokutwa Juni 25, 2025  kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa.

Mwamuzi  huyo  ataisaidiwa na Mahmoud Ahmed, Samir Gamal Saad, mwamuzi wa akiba ni Ahmed Mahrous Elghandour wote kutoka Misri, wakati Kamishna wa mechi ni Salim  Singano kutoka Tanga na mtathini waamuzi ni  Alli Mohamed kutoka Somalia.

Mchezo huo utakaopigwa saa 11:00 jioni, ndio utaamua bingwa wa msimu 2024/25  ambapo kwa sasa  Simba na  Yanga  zimepishana  pointi moja.



spot_img

Latest articles

Mgodi wa kihistoria wa niobium kujengwa Mbeya

Na Mwandishi Mbeya TANZANIA imepiga hatua muhimu katika kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi na Marekani baada...

Ndejembi ataka Ewura kukagua maghala ya mafuta kuhakikisha hakuna mafuta yanayofichwa

📌Asema nchi ina usalama mkubwa wa mafuta hivyo wananchi waendelee kupata huduma muda wote 📌Timu...

Tanesco yagusa mioyo ya watoto wenye mahitaji maalum

📌Ni sehemu ya uwajibikaji wake kwa jamii 📌Yatoa misaada mbalimbali kwa vituo vitatu Dar...

 ‘Umimi’ wa viongozi unaua Jumuiya Afrika Mashariki

KATIKATI ya miaka ya 90 wakati mfumo wa vyama vingi unaota mizizi, lilitokea wazo...

More like this

Mgodi wa kihistoria wa niobium kujengwa Mbeya

Na Mwandishi Mbeya TANZANIA imepiga hatua muhimu katika kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi na Marekani baada...

Ndejembi ataka Ewura kukagua maghala ya mafuta kuhakikisha hakuna mafuta yanayofichwa

📌Asema nchi ina usalama mkubwa wa mafuta hivyo wananchi waendelee kupata huduma muda wote 📌Timu...

Tanesco yagusa mioyo ya watoto wenye mahitaji maalum

📌Ni sehemu ya uwajibikaji wake kwa jamii 📌Yatoa misaada mbalimbali kwa vituo vitatu Dar...