Kampuni za kubeti zachangia bilioni 17 pato la Taifa

Na Mwandishi Wetu

Waziri wa Fedha Dk. Mwigulu Nchemba amesema hadi kufikia Aprili, 2025 , Bodi ya Michezo ya Kubahatisha Tanzania imekusanya jumla ya Sh 17.42 bilioni  sawa na asilimia 70 ya lengo la mwaka .

Akiwasilisha hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Fedha kwa mwaka wa Fedha 2025/2026 Bungeni Jijini Dodoma leo June 04,2025.

Amesema mwaka2024/25, Bodi ya Michezo ya Kubahatisha Tanzania ilipanga kukusanya mapato yatokanayo na michezo ya kubahatisha ya jumla ya Sh 24.89 bilioni .

“Kwa mwaka 2025/26, Bodi ya Michezo ya Kubahatisha Tanzania imepanga: Kutoa leseni 14,124 ikijumuisha leseni mpya 845 na kuhuisha leseni 13,279; kufanya kaguzi 12 kwa kuzingatia vihatarishi; kutekeleza operesheni  za kudhibiti michezo haramu; kukusanya mapato ya jumla ya shilingi bilioni 29.89,” amesema Waziri Nchemba.

spot_img

Latest articles

Waziri wa Nishati Ndejembi azindua rasmi mita janja

Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Nishati, Deogratius Ndejembi amezindua rasmi mita janja (smart meter)...

RC Kunenge: Mto Ruvu ubaki kwa matumizi ya binadamu tu, tusitishe shughuli nyingine kwa muda

Na Mwandishi Wetu MKUU wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, ametoa wito kwa wakulima...

Tume ya Jaji Chande na mlima wenye utelezi

KAMA kuna tume ya uchunguzi iliyopata kuundwa nchini kwa jambo mahususi, ikajikuta katika uwanja...

Rais Samia: Walilenga kupindua dola

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa vurugu...

More like this

Waziri wa Nishati Ndejembi azindua rasmi mita janja

Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Nishati, Deogratius Ndejembi amezindua rasmi mita janja (smart meter)...

RC Kunenge: Mto Ruvu ubaki kwa matumizi ya binadamu tu, tusitishe shughuli nyingine kwa muda

Na Mwandishi Wetu MKUU wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, ametoa wito kwa wakulima...

Tume ya Jaji Chande na mlima wenye utelezi

KAMA kuna tume ya uchunguzi iliyopata kuundwa nchini kwa jambo mahususi, ikajikuta katika uwanja...