Papa mpya apatikana ni Robert Prevost

Na Mwandishi Wetu

Papa Mpya wa Kanisa Katoliki Duniani, ametangazwa ni Kardinali Robert Francis Prevost(69), raia wa Marekani na amechagua jina la Papa Leo XIV.

Amechaguliwa leo Mei 8,2025, kuchukua nafasi ya  Papa Francis,aliyefariki dunia akiwa na umri wa miaka 88, Aprili 21, 2025.

Moshi mweupe ulionekana jioni ya leo  katika bomba lililopo katika paa la kanisa la Sistine Chapel mjini Vatican, ukiashiria kuwa tayari Makardinali walioketi kuanzia jana Mei 7,2025, wamempata Papa mpya.

spot_img

Latest articles

Waziri Masauni, Umoja wa Ulaya wajadili Mazingira

Mwandishi Maalum-Denmark Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhandisi Hamad...

Serikali yasamehe faini za maji, yataka wananchi warejeshewe huduma

Na Mwandishi Wetu Waziri wa Maji, Jumaa Aweso ametangaza msamaha wa faini zote kwa wananchi...

Spika wa Bunge ateta na Dk. Mwapinga, amhakikishia ushirikiano

Na Mwandishi Wetu Spika wa Bunge la Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani...

Simba azidi kumkimbiza Yanga,  bado pointi 4

Na Mwandishi Wetu Simba imeibuka na ushindi wa mabao 5-1 dhidi ya Pamba Jiji katika...

More like this

Waziri Masauni, Umoja wa Ulaya wajadili Mazingira

Mwandishi Maalum-Denmark Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhandisi Hamad...

Serikali yasamehe faini za maji, yataka wananchi warejeshewe huduma

Na Mwandishi Wetu Waziri wa Maji, Jumaa Aweso ametangaza msamaha wa faini zote kwa wananchi...

Spika wa Bunge ateta na Dk. Mwapinga, amhakikishia ushirikiano

Na Mwandishi Wetu Spika wa Bunge la Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani...