Waogeleaji wa Lake Victoria Sports Club waahidi kuing’arisha Tanzania Kimataifa

Na Mwandishi Wetu

Jumla ya waogeleaji sita  chipukizi wa Lake Victoria Sports Club  ya jijini Mwanza  wanatarajiwa kuipeperusha bendera ya Tanzania  katika mashindano ya kuogelea ya  Kimataifa  yatakayofanyika kesho Aprili 18 hadi 20, 2025  Dubai.

Waogelaji hao wameahidi kufanya vizuri katika mashindano hayo ili kuitangaza Tanzania Kimataifa.

Timu hiyo iliondoka nchini jana Aprili 16, 2025 ambapo tayari inaendelea na mazoezi ya kujiandaa na mashindano nchini humo.

Waogeleaji hao walioondoka ni Ethan Makalla, Nusrat Hassan, Nasri Hassan ,. Ibrahim Igoro, Tahir Isak ,. Zeeshan Isak, Naseeb Hassan.

spot_img

Latest articles

Dk. Mwigulu: Tutamuenzi kwa vitendo marehemu Jenista

Na Mwandishi Wetu WAZIRI Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itayaendeleza mambo yote mema yaliyofanywa na...

Balozi Bandora kuzikwa kesho makaburi ya Kinondoni

Mwanadiplomasia nguli wa Tanzania, aliyewahi  kuwa Balozi wa Tanzania nchini Nigeria na Mratibu Mkazi...

Serikali yajipanga kuimarisha utumishi wa umma, kuendeleza mageuzi ya kidigitali

Na Tatu Mohamed WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa...

Bokya amtahadharisha mapema Tyson wa Bongo

Na Winfrida Mtoi Bondia Ismail Khalid maarufu Boyka ametamba kutoa kipigo kikali kwa mpinza wake...

More like this

Dk. Mwigulu: Tutamuenzi kwa vitendo marehemu Jenista

Na Mwandishi Wetu WAZIRI Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itayaendeleza mambo yote mema yaliyofanywa na...

Balozi Bandora kuzikwa kesho makaburi ya Kinondoni

Mwanadiplomasia nguli wa Tanzania, aliyewahi  kuwa Balozi wa Tanzania nchini Nigeria na Mratibu Mkazi...

Serikali yajipanga kuimarisha utumishi wa umma, kuendeleza mageuzi ya kidigitali

Na Tatu Mohamed WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa...