Waogeleaji wa Lake Victoria Sports Club waahidi kuing’arisha Tanzania Kimataifa

Na Mwandishi Wetu

Jumla ya waogeleaji sita  chipukizi wa Lake Victoria Sports Club  ya jijini Mwanza  wanatarajiwa kuipeperusha bendera ya Tanzania  katika mashindano ya kuogelea ya  Kimataifa  yatakayofanyika kesho Aprili 18 hadi 20, 2025  Dubai.

Waogelaji hao wameahidi kufanya vizuri katika mashindano hayo ili kuitangaza Tanzania Kimataifa.

Timu hiyo iliondoka nchini jana Aprili 16, 2025 ambapo tayari inaendelea na mazoezi ya kujiandaa na mashindano nchini humo.

Waogeleaji hao walioondoka ni Ethan Makalla, Nusrat Hassan, Nasri Hassan ,. Ibrahim Igoro, Tahir Isak ,. Zeeshan Isak, Naseeb Hassan.

spot_img

Latest articles

Wachezaji volleyball nchini watakiwa kujituma kuwavutia mawakala wa kimataifa

Na Mwandishi Wetu WACHEZAJI wa mpira wa wavu 'volleyball' wanaoshiriki Ligi ya Mkoa wa Dar...

TANESCO YAFUNGUA UKURASA MPYA WA MATUMIZI YA UMEME NCHINI

📍Yazindua vituo vya kuchajia vyombo vya usafiri vinavyotumia umeme 📍Wananchi kunufaika na mpango wa ukopeshaji...

Tusimamie sera ya kutofungamana, pia uwajibikaji matukio ya Oktoba 29

SIJAWAHI kuwa msemaji wa serikali, hivyo sina utaratibu wa kuizungumzia au kuisemea. Siyo jukumu...

DAWASA, Madiwani waja na suluhisho changamoto ya maji Ubungo

Na Mwandishi Wetu Madiwani wa Manispaa ya Ubungo wamekubaliana kwa kauli moja na Mamlaka ya...

More like this

Wachezaji volleyball nchini watakiwa kujituma kuwavutia mawakala wa kimataifa

Na Mwandishi Wetu WACHEZAJI wa mpira wa wavu 'volleyball' wanaoshiriki Ligi ya Mkoa wa Dar...

TANESCO YAFUNGUA UKURASA MPYA WA MATUMIZI YA UMEME NCHINI

📍Yazindua vituo vya kuchajia vyombo vya usafiri vinavyotumia umeme 📍Wananchi kunufaika na mpango wa ukopeshaji...

Tusimamie sera ya kutofungamana, pia uwajibikaji matukio ya Oktoba 29

SIJAWAHI kuwa msemaji wa serikali, hivyo sina utaratibu wa kuizungumzia au kuisemea. Siyo jukumu...