MOTSEPE KUENDELEA KUONGOZA CAF HADI 2029, KARIA MJUMBE

Na Mwandishi Wetu

Rais wa Shirikisho la Soka  Afrika (CAF), Patrice Motsepe ataendelea kuliongoza shirikisho hilo hadi 2029 baada ya kuchaguliwa katika nafasi katika uchaguzi uliofanyika leo Machi 12,2025, Cairo, Misri.

Motsepe ambaye amekuwa Rais wa shirikisho hilo tangu mwaka 2021,  amechaguliwa akiwa ni mgombea pekee katika nafasi hiyo.

Naye Rais wa Shirikisho la Soka nchini(TFF), Wallace Karia amechaguliwa  mjumbe Kamati ya Utendaji ya (CAF), akiwa mgombea  pekee wa nafasi hiyo kuwakilisha Kanda ya Soka ya Baraza la vyama vya Mpira wa Miguu Afrika Mashariki na Kati (Cecafa).

spot_img

Latest articles

Kapinga azindua Namba ya bure ya Huduma kwa Wateja wa Tanesco

📌Awapongeza TANESCO kutekeleza agizo la Mhe. Dkt. Biteko kuwataka kuanzisha namba ya huduma kwa...

Rais Samia akutana na Mkurugenzi Mtendaji wa UNICEF

Na Mwandishi Wetu RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan...

Hamza Johari: Tunataka kuwa Champion wa Dira ya Taifa ya Maendeleo ya 2050

Na Mwandishi Wetu MWANASHERIA Mkuu wa Serikali, Hamza Johari amesema kuwa Ofisi ya Mwanasheria...

More like this

Kapinga azindua Namba ya bure ya Huduma kwa Wateja wa Tanesco

📌Awapongeza TANESCO kutekeleza agizo la Mhe. Dkt. Biteko kuwataka kuanzisha namba ya huduma kwa...

Rais Samia akutana na Mkurugenzi Mtendaji wa UNICEF

Na Mwandishi Wetu RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan...

Hamza Johari: Tunataka kuwa Champion wa Dira ya Taifa ya Maendeleo ya 2050

Na Mwandishi Wetu MWANASHERIA Mkuu wa Serikali, Hamza Johari amesema kuwa Ofisi ya Mwanasheria...