Machifu watano watekwa Nyara Kenya na Al-Shabaab

MACHIFU watano wametekwa nyara siku ya Jumatatu na watu wanaoshukiwa kuwa wanamgambo wa al-Shabaab katika Kaunti ya Mandera nchini Kenya.

Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Mashariki John Otieno amesema machifu hao watano walikuwa wakielekea Elwak walipotekwa nyara kati ya Bamba Owla na Ires Suki.

Ripoti inaonyesha wasimamizi wa eneo hilo walipaswa kufanya mkutano kabla ya ziara ya Rais William Ruto katika eneo hilo.Kwa sasa Rais William Ruto yuko kweney ziara ya wiki moja katika eneo la Kaskazini Mashariki, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kushirikiana na jamii za eneo hilo na kushughulikia vipaumbele vya maendeleo ya kikanda.

Chanzo: BBC

spot_img

Latest articles

Mwili wa Jenista Mhagama Kuzikwa Jumanne Mbinga, Ruvuma

Na Mwandishi Wetu MWILI wa aliyekuwa Mbunge wa Peramiho (CCM), Jenista Mhagama unatarajiwa kuzikwa...

Mradi wa upanuzi Kituo cha kupokea na kupoza umeme cha Kinyerezi I Extension umekamilika

Na Mwandishi Wetu NAIBU Waziri wa Nishati, Salome Makamba, amesema kuwa mradi wa upanuzi...

Jenista Mhagama afariki dunia

Na Mwandishi Wetu MBUNGE wa Jimbo la Peramiho, Jenista Joakim Mhagama (58) amefariki dunia...

Tumeepuka balaa jingine, uadilifu uongoze tiba machungu ya MO29

JUMANNE wiki hii Watanzania walisherehekea siku ya uhuru wa Tanganyika wengi wakiwa majumbani kwao....

More like this

Mwili wa Jenista Mhagama Kuzikwa Jumanne Mbinga, Ruvuma

Na Mwandishi Wetu MWILI wa aliyekuwa Mbunge wa Peramiho (CCM), Jenista Mhagama unatarajiwa kuzikwa...

Mradi wa upanuzi Kituo cha kupokea na kupoza umeme cha Kinyerezi I Extension umekamilika

Na Mwandishi Wetu NAIBU Waziri wa Nishati, Salome Makamba, amesema kuwa mradi wa upanuzi...

Jenista Mhagama afariki dunia

Na Mwandishi Wetu MBUNGE wa Jimbo la Peramiho, Jenista Joakim Mhagama (58) amefariki dunia...