Machifu watano watekwa Nyara Kenya na Al-Shabaab

MACHIFU watano wametekwa nyara siku ya Jumatatu na watu wanaoshukiwa kuwa wanamgambo wa al-Shabaab katika Kaunti ya Mandera nchini Kenya.

Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Mashariki John Otieno amesema machifu hao watano walikuwa wakielekea Elwak walipotekwa nyara kati ya Bamba Owla na Ires Suki.

Ripoti inaonyesha wasimamizi wa eneo hilo walipaswa kufanya mkutano kabla ya ziara ya Rais William Ruto katika eneo hilo.Kwa sasa Rais William Ruto yuko kweney ziara ya wiki moja katika eneo la Kaskazini Mashariki, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kushirikiana na jamii za eneo hilo na kushughulikia vipaumbele vya maendeleo ya kikanda.

Chanzo: BBC

spot_img

Latest articles

Wajiteka na kudai pesa kutoka kwa wazazi wao

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam JESHI la Polisi Kanda Maalum Dar es salaam limefanikiwa...

RAIS SAMIA APEWA TUZO

Na Mwandishi Wetu Rais Samia Suluhu Hassan amepokea Tuzo Maalum ya Kimataifa ya The Global...

KENGOLD POINT TATU MBELE YA YANGA

Na Mwandishi Wetu Kocha Msaidizi wa timu ya KenGold, Omary Kapilima amesema wamejipanga vizuri kuikabili...

Trump: Sina uhakika na uwepo wa amani Israel na Hamas

Rais wa Marekani, Donald Trump amesema hana uhakika na kuwepo kwa amani ya kudumu...

More like this

Wajiteka na kudai pesa kutoka kwa wazazi wao

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam JESHI la Polisi Kanda Maalum Dar es salaam limefanikiwa...

RAIS SAMIA APEWA TUZO

Na Mwandishi Wetu Rais Samia Suluhu Hassan amepokea Tuzo Maalum ya Kimataifa ya The Global...

KENGOLD POINT TATU MBELE YA YANGA

Na Mwandishi Wetu Kocha Msaidizi wa timu ya KenGold, Omary Kapilima amesema wamejipanga vizuri kuikabili...