Machifu watano watekwa Nyara Kenya na Al-Shabaab

MACHIFU watano wametekwa nyara siku ya Jumatatu na watu wanaoshukiwa kuwa wanamgambo wa al-Shabaab katika Kaunti ya Mandera nchini Kenya.

Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Mashariki John Otieno amesema machifu hao watano walikuwa wakielekea Elwak walipotekwa nyara kati ya Bamba Owla na Ires Suki.

Ripoti inaonyesha wasimamizi wa eneo hilo walipaswa kufanya mkutano kabla ya ziara ya Rais William Ruto katika eneo hilo.Kwa sasa Rais William Ruto yuko kweney ziara ya wiki moja katika eneo la Kaskazini Mashariki, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kushirikiana na jamii za eneo hilo na kushughulikia vipaumbele vya maendeleo ya kikanda.

Chanzo: BBC

spot_img

Latest articles

DC Kilwa aipongeza Tanesco kwa kujipanga kufikisha umeme katika bandari ya uvuvi

📌Asema ni Mradi wa kimkakati wenye fursa za kiuchumi kwa maslahi mapana ya nchi 📌Amtaka...

Rais Ruto awasili nchini

Na Mwandishi Wetu Rais wa Kenya, Dk. William Ruto amewasili nchini leo kwa ziara ya...

Didier Drogba atikisa Bunge la Tanzania

Na Mwandishi Wetu Shangwe​  zimetawala  katika Ukumbi wa Bunge jijini Dodoma leo Mei 4, 2026,  ...

Makonda aomba sh.525.32 bilioni, maandalizi AFCON yafikia pazuri

 Na Mwandishi Wetu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda ameomba sh. 525.32...

More like this

DC Kilwa aipongeza Tanesco kwa kujipanga kufikisha umeme katika bandari ya uvuvi

📌Asema ni Mradi wa kimkakati wenye fursa za kiuchumi kwa maslahi mapana ya nchi 📌Amtaka...

Rais Ruto awasili nchini

Na Mwandishi Wetu Rais wa Kenya, Dk. William Ruto amewasili nchini leo kwa ziara ya...

Didier Drogba atikisa Bunge la Tanzania

Na Mwandishi Wetu Shangwe​  zimetawala  katika Ukumbi wa Bunge jijini Dodoma leo Mei 4, 2026,  ...