KMC, MASHUJAA ZATESTI MITAMBO


Wakati Ligi Kuu Tanzania Bara ikitarajia kurejea wiki hii, timu za Mashujaa na KMC leo asubuhi zimecheza mechi ya kirafiki na kutoka sare ya bao 1-1, mchezo uliopigwa dimba la KMC Complex, Mwenge Dar es Salaam.

Timu hizo zipo katika maandalizinya michezo yao ya Katika Ligi Kuu ambapo Mashujaa itakuwa ugenini jijini Mbeya Februari 6,2025kucheza na Tanzania Prisons wakati KMC itacheza na Azam FC Uwanja wa Azam Complex Februari 6, 2025.

spot_img

Latest articles

MINZIRO NA PAMBA YAKE NAWAPIGA TU

Na Mwandishi Wetu Timu ya Pamba Jiji chini ya Kocha Felix Minziro (Majeshi, Baba Isaya)...

Majaliwa azitaka Mamlaka za Mikoa, Taasisi za Elimu kusimamia utekelezaji Sera ya elimu

Na Mwandishi Wetu WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amezielekeza mamlaka za mikoa, halmashauri na taasisi za...

Bidhaa ‘feki’ zadidimiza Watanzania lindi la umasikini

Watanzania wanazidi kunasa katika mzunguko wa umasikini unaosababishwa na kushamiri kwa bidhaa duni na...

More like this

MINZIRO NA PAMBA YAKE NAWAPIGA TU

Na Mwandishi Wetu Timu ya Pamba Jiji chini ya Kocha Felix Minziro (Majeshi, Baba Isaya)...

Majaliwa azitaka Mamlaka za Mikoa, Taasisi za Elimu kusimamia utekelezaji Sera ya elimu

Na Mwandishi Wetu WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amezielekeza mamlaka za mikoa, halmashauri na taasisi za...