Yanga yaanza na pointi tatu Ligi Kuu

Na Mwandishi Wetu

Timu ya Yanga imeanza na ushindi katika Ligi Kuu Tanzania Bara baada ya kuifunga Kagera Sugar mabao 2-0 kwenye Uwanja wa Kaitaba, Bukoba.

Mabao yamefungwa na Max Nzengeli na Clemem Mzize.

Mchezo mwingine wa ligi hiyo, KMC imelazimishwa sare 1-1 na Coatal Union kwenye Uwanja wa KMC, Dar es Salaam.

spot_img

Latest articles

BODI YA DAWASA YAINGIA MTAANI KUKAGUA UPATIKANAJI WA MAJI

Na Mwandishi Wetu BODI ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira...

ELIMU YA VIPIMO YAWAVUTIA WANANCHI, WAAHIDI KUWA MABALOZI WA KUJITOLEA

Na Mwandishi Wetu Dodoma – “Sasa najua ni nini ninapaswa kuangalia ninapojaza mafuta, kununua...

Bodi ya DAWASA yasisitiza kukamilika kwa wakati ufungaji pampu mpya za maji

Na Mwandishi Wetu BODI ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira...

More like this

BODI YA DAWASA YAINGIA MTAANI KUKAGUA UPATIKANAJI WA MAJI

Na Mwandishi Wetu BODI ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira...

ELIMU YA VIPIMO YAWAVUTIA WANANCHI, WAAHIDI KUWA MABALOZI WA KUJITOLEA

Na Mwandishi Wetu Dodoma – “Sasa najua ni nini ninapaswa kuangalia ninapojaza mafuta, kununua...