Simba yaibadilishia kikosi Singida

Na Winfrida Mtoi

Kuelekea mechi yao na Singida Fountain Gate, Kocha Msaidizi wa Simba, Seleman Matola amesema kutokana na kucheza mechi kila baada ya siku mbili watakuwa na mabadiliko katika kikosi chao kwani baadhi ya wachezaji wamepewa mapumziko.

Matola amesema hayo leo Machi 11,2024 wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu maandalizi ya mchezo huo wa Ligi Kuu Tanzania Bara, utakaochezwa kesho kwenye Uwanja wa Azam Complex, Chamazi.

“Kwa sababu ukingali ‘game’ zipo kila baada ya siku mbili kwa hiyo nafikiri  kunaweza kuwa na mabadiliko kutokana na kuwapa baadhi ya wachezaji mapumziko, sisi kama benchi la ufundi tutaangalia ni nani anaweza kutufaa katika mchezo wa kesho,” amesema Matola.

Aidha amesema morali yao ipo juu na bado wana nafasi kubwa ya kufanya vizuri katika ligi kuu na kuahidi kuwafurahisha mashabiki wa timu hiyo.

Amekiri kuwa walifanya makosa katika michezo miwili iliyopita dhidi ya Tanzania Prisons Coastal Union  kwa kuruhusu mabao lakini wameshajirekebisha mazoezini.

Katika mchezo uliopita Wekundu wa Msimbazi hao waliifunga Coastal Union 2-1 kwenye Uwanja wa Mkwakwani Tanga.

spot_img

Latest articles

Tanzania, Angola zataka kuongeza biashara na uwekezaji

Na Mwandishi Wetu TANZANIA na Angola zimeahidi kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi kwa kuongeza biashara na...

Tanzania yaelekea hatua za mwisho maandalizi ya umeme wa nyuklia

Na Tatu Mohamed TANZANIA imefikia hatua za mwisho za maandalizi ya kuanza utekelezaji wa mpango...

WAZIRI WA ARDHI ATEMBELEA BANDA LA TPRB SABASABA

Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Dkt. Leonard...

TTB yatumia Sabasaba kuitangaza SITE 2026

Na Tatu Mohamed BODI ya Utalii Tanzania (TTB) imesema imeanzisha dawati maalumu katika Maonesho...

More like this

Tanzania, Angola zataka kuongeza biashara na uwekezaji

Na Mwandishi Wetu TANZANIA na Angola zimeahidi kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi kwa kuongeza biashara na...

Tanzania yaelekea hatua za mwisho maandalizi ya umeme wa nyuklia

Na Tatu Mohamed TANZANIA imefikia hatua za mwisho za maandalizi ya kuanza utekelezaji wa mpango...

WAZIRI WA ARDHI ATEMBELEA BANDA LA TPRB SABASABA

Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Dkt. Leonard...