Gamondi atwaa tuzo

Na Winfrida Mtoi

Kocha Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi amechaguliwa kuwa kocha bora wa Februari na kutwa tuzo ya TFF, akiwashinda kocha wa Simba Abdelhak Benchikha na Ahmad Ally wa Tanzania Prisons.

Gamondi ameibuka kededea kutokana na kuiongoza Yanga katika michezo mitano bila kupoteza, akishinda minne na sare moja.

Michezo iliyompa tuzo kocha huyo ni sare ya 0-0 na Kagera Sugar, amezifunga Dodoma Jiji 1-0, Mashujaa 2-1, Prisons 1-2 na KMC 0-3.

Kipa wa Coastal Union, Ley Matampi

Naye Kipa wa timu ya Coastal Union, Ley Matampi ametwaa tuzo ya Februari ya mchezaji bora wa mwezi baada ya dakika 270 za michezo mitatu bila kuruhush bao.

Kipa huyo amewashinda kiungo wa Yanga Mudathir Yahya na mshambuliaji wa Prisons Samson Mbangula aliongia nao fainali.

Pia kamati ya tuzo hizo imemchagua Meneja wa Uwanja wa Azam Complex, Amir Juma kuwa meneja bora wa mwezi huo.

spot_img

Latest articles

NEMC yatoa elimu kwa umma kuelekea kilele cha Siku ya Kimataifa ya Taka Sifuri

Na Tatu Mohamed BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limeanza kutoa...

Vijana 521 waondoka kwa ajira nje ya nchi

Na Mwandishi Wetu SERIKALI imewaaga vijana 521 waliopata fursa za ajira nje ya nchi, hatua...

Naibu Waziri wa Nishati akabidhi vitendea kazi Kwa Tanesco Mkoa wa Shinyanga

📌Ni katika muendelezo wa mkakati wa shirika wa kuwahudumia wananchi kwa ufanisi 📌Awasihi wananchi kutumia...

Matendo ya Polisi ni hujuma dhidi ya utawala bora, demokrasia

MFUMO wa uchumi wa soko huru una kanuni zake. Miongoni mwake ni kuruhusu ushindani....

More like this

NEMC yatoa elimu kwa umma kuelekea kilele cha Siku ya Kimataifa ya Taka Sifuri

Na Tatu Mohamed BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limeanza kutoa...

Vijana 521 waondoka kwa ajira nje ya nchi

Na Mwandishi Wetu SERIKALI imewaaga vijana 521 waliopata fursa za ajira nje ya nchi, hatua...

Naibu Waziri wa Nishati akabidhi vitendea kazi Kwa Tanesco Mkoa wa Shinyanga

📌Ni katika muendelezo wa mkakati wa shirika wa kuwahudumia wananchi kwa ufanisi 📌Awasihi wananchi kutumia...