Buriani Lowassa , 1953 – 2024

Waziri Mkuu Mstaafu wa Tanzania Edward Lowassa (70) amefariki Dunia Leo Katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete Dar Es Salaam.

Taarifa ya kifo chake imetangazwa na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan kupitia Makamu wa Rais Dk. Philip Mpango

#themediaBrains

spot_img

Latest articles

TTCL Yakabidhi Magari 6 ya Sh. Milioni 903 Kuimarisha Ufanisi wa Huduma

Na Mwandishi Wetu SHIRIKA la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limeendelea kutekeleza mkakati wake wa kuboresha...

Ofisi ya Usuluhishi wa Kodi Yaahidi Kuimarisha Mazingira ya Biashara na Uwekezaji

Na Mwandishi Wetu OFISI ya Usuluhishi wa Malalamiko na Taarifa za Kodi imesema, inaendelea...

Mkondo wa amali waanza kuzaa matunda, wanafunzi waonesha ubunifu Sabasaba

Na Tatu Mohamed WANAFUNZI wanaosoma mkondo wa amali wameanza kuonesha matokeo ya ujuzi wa...

NAIBU GAVANA WA BoT ATEMBELEA BANDA LA BODI YA BIMA YA AMANA MAONESHO YA SABASABA DAR ES SALAAM

Na Mwandishi Wetu NAIBU Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Dk. Rahma Salim...

More like this

TTCL Yakabidhi Magari 6 ya Sh. Milioni 903 Kuimarisha Ufanisi wa Huduma

Na Mwandishi Wetu SHIRIKA la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limeendelea kutekeleza mkakati wake wa kuboresha...

Ofisi ya Usuluhishi wa Kodi Yaahidi Kuimarisha Mazingira ya Biashara na Uwekezaji

Na Mwandishi Wetu OFISI ya Usuluhishi wa Malalamiko na Taarifa za Kodi imesema, inaendelea...

Mkondo wa amali waanza kuzaa matunda, wanafunzi waonesha ubunifu Sabasaba

Na Tatu Mohamed WANAFUNZI wanaosoma mkondo wa amali wameanza kuonesha matokeo ya ujuzi wa...