Na Mwandishi Wetu
SERIKALI imeonya taasisi za umma zinazofanya vibaya kujitathmini na kuchukua hatua za haraka za kuboresha utendaji wao, ikisisitiza kuwa haitavumilia taasisi zitakazoendelea kuonesha utendaji duni kwa muda mrefu.
Onyo hilo lilitolewa na Msajili wa Hazina, Bw. Nehemiah Mchechu, jijini Dar es Salaam Ijumaa,...
📌Yasema Kituo kinachangia asilimia 45 ya umeme katika Gridi ya Taifa
📌Yasisitiza ukamilishaji wa miradi ya njia za kusafirisha umeme ili kuwafikia wananchi.
Yawapongeza wananchi kwa kuchangia ujenzi wa Kituo hicho kupitia kodi zao
Na Mwandishi Wetu
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini...