Na Mwandishi wetu
TANZANIA iko katika hatua za awali za upembuzi wa kushiriki katika mradi wa Jumuiya ya Ulaya (EU P111) mradi wenye lengo la kuimarisha udhibiti wa mabaki hatarishi ya kemikali katika nchi za ukanda wa Afrika Mashariki na Kati.
Hayo yamesemwa Jijini Dar es...
Na Mwandishi Wetu
KAMPUNI ya Taarifa Limited inayomilikiwa na mfanyabiashara Rostam Aziz imeingia makubaliano ya kununu hisa za Taasisi ya Aga Khan inazomiliki katika kampuni ya Nation Media Group nchini Kenya.
Taarifa iliyotolewa na Taasisi ya Agakhan leo Machi 10, 2026 kutoka Neneva, Uswisi, ...