📌 Jumla ya Megawati 50 kuingizwa kwenye Gridi ya Taifa ifikapo Machi 1, 2026
📌 Shilingi bilioni 118.6 zatumika katika ujenzi kwa awamu ya kwanza
Na Mwandishi Wetu
MAANDALIZI ya awamu ya pili (MW 100) yaanzaTanzania imeandika historia mpya katika sekta ya nishati baada ya kukamilika...
📌Yasema jumla ya megawati 4,400 za umeme zinazalishwa kupitia vyanzo mbalimbali
📌Yaipongeza TANESCO kwa kutekeleza Miradi na kuhakikisha Shirika linajiendesha kwa faida
Na Mwandishi Wetu
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imesema imeridhishwa na hali ya uzalishaji wa umeme ,...