Na Mwandishi Wetu
OFISI ya Msajili wa Hazina (OTR) kwa kushirikiana na Taasisi ya Wakurugenzi Tanzania (IoDT) imeendesha mafunzo maalum ya uongozi na usimamizi kwa Wakurugenzi na Wakurugenzi Wasaidizi wa Ofisi hiyo, yakilenga kuimarisha uwezo wa menejimenti katika kusimamia rasilimali za umma kwa weledi,...
Na Mwandishi Wetu
MKURUGENZI Mkuu wa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC), Raymond Mndolwa, ametoa pole kwa waandishi wa habari waliopata ajali ya gari mkoani Iringa walipokuwa wakirejea nyumbani wakitokea kuripoti Maadhimisho ya Miaka 49 ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Mndolwa, akiwa ameambatana na Mkuu...