Na Mwandishi Wetu
Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) imetoa bei mpya za nauli kwa mabasi yanayofanya safari za mikoani, mabasi ya mijini (daladala), teksi mtandao pamoja na pikipiki mtandao.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana Aprili 17, 2026 kupitia Gazeti la Serikali, bei mpya zitaanza...
Na Winfrida Mtoi
MASHINDANO ya kuogelea kwa watoto ya ‘East Africa Development Swimming Gala’ yameanza kwa kishindo leo jijini Dar es Salaam, huku vipaji vilivyoonyeshwa na chipukizi hao vikiwakosha wadau na kuivuta Serikali ikiahidi ushirikiano wa kudumu.
Michuano hiyo iliyoandaliwa na Taasisi ya Prime Sports Agency,...