Na Mwandishi Wetu
MAMIA ya wananchi, viongozi wa Serikali na wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama leo (Jana) walikusanyika katika Viwanja vya Mashujaa, Mtumba jijini Dodoma kushiriki Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mashujaa, yaliyongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan.
Maadhimisho hayo yalitawaliwa na...
📌 Wavutiwa namna TANESCO inavyotumia teknolojia na mitandao ya kijamii kutoa huduma nzuri kwa wananchi
Na Mwandishi Wetu
WATAALAMU kutoka Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) wameisifu TANESCO kwa mafanikio makubwa ya matumizi ya teknolojia katika utoaji huduma kwa wateja, hatua iliyochangia kuongeza ufanisi na kuwahudumia...