Na Mwandishi Wetu
KATIKA dunia ya sasa, ushindani wa biashara haupimwi tena kwa ukubwa wa bandari au idadi ya mipaka ya nchi, bali kwa ubora wa mifumo inayorahisisha biashara. Mataifa mengi yanayofanikiwa katika biashara ya kimataifa yamewekeza katika mifumo ya kidijitali inayopunguza urasimu, kuongeza...
Na Mwandishi Wetu, Dodoma
WAKALA wa Majengo Tanzania (TBA) umewataka wawekezaji wa sekta binafsi kutumia fursa zilizopo katika maeneo 38 yaliyotengwa kwa ajili ya uwekezaji nchini, ukieleza kuwa miradi hiyo inaweza kuongeza thamani ya mazao, kupunguza upotevu wa bidhaa na kuchochea ukuaji wa shughuli za...