Na Mwandishi Wetu
Mabishano ya ushabiki wa Yanga na Simba yamesababisha kifo cha mwanaume mmoja aliyefahamika kwa jina la Evaristo Mwambogolo (28), mkulima na mkazi wa Ululu wilayani Mbozi mkoani Songwe, baada ya kuchomwa kisu kifuani na mtu aliyejulikana kama Exavery Mwaweza.
Taarifa iliyotolewa na Jeshi...
Na Winfrida Mtoi
Timu za Simba na Yanga leo zimeondoka nchini leo kwa ajili ya kwenda kucheza michezo yao raundi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika.
Yanga imeelekea Angola, kuikabili Wiliete ya nchini humo Septemba 19, 2025, Uwanja wa 11 de Novembro, huku Simba ikitarajiwa...