Na Mwandishi Wetu
OFISI ya Usuluhishi wa Malalamiko na Taarifa za Kodi imesema, inaendelea kuimarisha mazingira ya biashara na uwekezaji nchini kwa kushughulikia malalamiko ya walipakodi, hatua inayolenga kuongeza ulipaji wa kodi kwa hiari na kuchangia utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050.
Akizungumza...
Na Tatu Mohamed
WANAFUNZI wanaosoma mkondo wa amali wameanza kuonesha matokeo ya ujuzi wa vitendo unaowawezesha kujiajiri na kutimiza ndoto zao za kitaaluma, huku Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi (NACTVET) likitumia Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya...