Na Mwandishi Wetu
ALIYEKUWA Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Polycarp Kardinali Pengo amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 81.
Taarifa rasmi ya kifo chake imetolewa na Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Yude Ruwai'chi, usiku...
Na Tatu Mohamed
KATIBU Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Balozi Waziri Salum, amelipongeza Shirika la Utafiti na Maendeleo ya Viwanda Tanzania (TIRDO) kwa kazi kubwa linayofanya katika kukuza ubunifu na sekta ya viwanda nchini, huku akiiagiza kuongeza juhudi za kujitangaza ili wananchi...