Jumatatu wiki hii Rais Samia Suluhu Hassan alifungua mkutano wa Chama cha Mahakimu na Majaji wa Tanzania, ambao ulikuwa mahususi kwa ajili ya watoaji wa haki hao kujijengea uwezo katika utendaji wao.
Katika mkutano huo, Jaji Mkuu wa Tanzania, Jaji George Masaju, alitumia fursa ya...
Na Mwandishi Wetu
YANGA imetwaa ubingwa wa kombe la Mapinduzi ikiifunga Azam FC kwa mikwaju ya penalti 5-4 katika mchezo wa fainali uliopigwa Januari 13, 2026 kwenye dimba la Gombani, Pemba.
Mchezo huo uliishia kwa sare tasa ndani ya dakika 90 za kawaida, hali iliyomlazimu mwamuzi...