📍Yazindua vituo vya kuchajia vyombo vya usafiri vinavyotumia umeme
📍Wananchi kunufaika na mpango wa ukopeshaji wa majiko ya umeme kupitia LUKU
Na Mwandishi Wetu, Dodoma
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limezindua mradi wa vituo vya kuchajia vyombo vya usafiri vinavyotumia umeme pamoja na Mpango wa Ukopeshaji wa...
SIJAWAHI kuwa msemaji wa serikali, hivyo sina utaratibu wa kuizungumzia au kuisemea. Siyo jukumu langu. Jukumu langu kubwa ni kuiuliza maswali ili wananchi wajue nini kinaendelea katika nchi yao.
Hata hivyo, pamoja na ukweli huo, kuna siku nililazimika kuisemea serikali. Nilikuwa katika kikao kimojawapo nikatakiwa...