Na Tatu Mohamed
Shirika la Ukaguzi na Usimamizi wa Vyama vya Ushirika (COASCO) limesema ukaguzi unaofanywa katika vyama vya ushirika umeendelea kuongeza uwazi, uwajibikaji na kuimarisha imani ya wanachama katika uendeshaji wa vyama hivyo nchini.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa COASCO, CPA Jeremiah Mugeta, alisema hayo alipotembelea...
BADO tupo katika mtanziko. Ukisikiliza kwa makini yanayoendelea kwenye mitandao ya kijamii, kwenye vijiwe vya kahawa, kwenye baa na mikusanyiko mingine kuhusu hali ya kisiasa nchini Tanzania, yapo maswali magumu ambayo bado hayana majibu.
Maswali haya yanazunguka mduara mmoja, kwamba ni kwa nini neno maandamano...