📌Ni mradi wa kihistoria kutekelezwa chini ya Serikali ya awamu ya Sita
📌 Yaipongeza TANESCO kwa usimamizi wa Ujenzi wa Kiwanda hiko
📌 Shilingi Bilioni 8 zawekezwa ujenzi wa Kiwanda hiko Na Mwandishi wetu, Tabora
Na Mwandishi wetu
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na...
KWA nyakati tofauti viongozi wawili wamezungumzia jiji la Dar es Salaam kuhusu msongamano wa magari. Msongamano wa magari kwa jiji la Dar es Salaam ni hoja muhimu ya kiuchumi, kiafya na kimazingira. Kwa mujibu wa Benki ya Dunia Tanzania inapata hasara ya Sh. trilioni...