Na Mwandishi Wetu
RIPOTI ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere imeanika mapungufu katika mchakato wa ununuzi na ujenzi wa uwanja wa mpira wa miguu jijini Arusha, unaojengwa kwa ajili ya mashindano ya fainali za Mataifa Afrika (AFCON).
Kwa mujibu wa...
Na Mwandishi Wetu
MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere, amesema deni la Serikali limeongezeka na kufikia sh. trilioni 110, hali iliyochangiwa na mikopo ya nje tofauti na mwaka wa fedha wa 2023/2024, ambapo deni lilikuwa chini ya kiwango hicho.
Akiwasilisha taarifa...