Na Mwandishi Wetu
KATIKA kuadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Tanganyika, Watanzania wametakiwa kukumbuka siku hiyo kwa misingi ya haki, amani, mshikamano na umoja wa kitaifa, huku wakiepuka mivutano yoyote inayoweza kugawanya taifa, ikiwemo migawanyiko ya kidini, kikabila au kisiasa.
Akizungumza jijini Dar es Salaam,...
Na Tatu Mohamed
SERIKALI inatarajia kuanzisha kituo Maalum cha kuhudumia na kuwezesha wawekezaji vijana(Youth Investors Resource Centre) nchini ikiwa ni mkakati wa kupunguza wimbi la ukosefu wa ajira na kuongeza fursa za uwekezaji kwa vijana.
Hayo yamebainishwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na...