Na Winfrida Mtoi
BONDIA wa kimataifa wa Tanzania, Hassan Mwakinyo, ameweka bayana kuwa pambano lake la kesho dhidi ya Mnaigeria, Stanley Eribo litakuwa la kisasi, huku Hamad Furahisha akitaka kuweka rekodi ya kumchapa Mmalawi Hanock Phiri.
Mabondia hao wanatarajia kupanda ulingoni kesho Desemba 26, kuzichapa katika...
Na Tatu Mohamed
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais – Maendeleo ya Vijana, Joel Arthur Nanauka amesema Serikali ya Awamu ya Sita itaendelea kuimarisha utekelezaji wa Sera ya Taifa ya Maendeleo ya Vijana ya mwaka 2007, toleo la 2024, kwa kuzingatia maeneo 13 ya...