JUMANNE wiki hii Watanzania walisherehekea siku ya uhuru wa Tanganyika wengi wakiwa majumbani kwao. Waliitikia wito wa kuwataka kusherehekea siku hiyo ya kukumbuka kuondoka kwa utawala wa kikoloni wa Mwingereza Desemba 9, 1961, wakiwa nyumbani bila shaka ili kusaidia kuepusha kile kilichokuwa kinaelezwa kuwa...
Na Mwandishi Wetu
WAZIRI wa maji, Jumaa Aweso amekagua na kujiridhisha na wingi wa Maji yanayoingia katika Mtambo wa Maji Maji Ruvu Juu uliopo Wilaya ya Kibaha Mkoani Pwani ikiwa ni ishara ya kuendelea kuimarika kwa huduma ya Maji.
Aweso amesema hatua hiyo ni...