Maombi ya Lissu kusikilizwa Juni 2, arudishwa rumande

Na Mwandishi Wetu

MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Masijala Ndogo ya Dar es Salaam, imepanga kusilikiza shauri la Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu linalohusu maombi ya kuunganishwa katika kesi inayohusu mgawanyo wa mali za chama hicho.

Shauri hilo limetajwa leo Mei 25, 2026, mbele ya Jaji David Ngunyale, ambapo Mahakama imeutaka upande wa wajibu maombi kuwasilisha viapo vyao kinzani ndani ya siku saba.

Akizungumza na waandishi wa habari baada ya kuahirishwa kwa shauri hilo, Mwanasheria Mkuu wa Chadema, Dk. Rugemeleza Nshala, amesema hatima ya maombi ya Mwenyekiti  huyo itategemea uamuzi unaotarajiwa kutolewa Mei 28, 2026 katika kesi ya msingi iliyorejeshwa Mahakama Kuu kutoka Mahakama ya Rufani.

Ameeleza kuwa, iwapo Mahakama itaamua kesi hiyo inaendelea kuwa na nguvu kisheria, basi maombi ya mwenyekiti yataendelea kusikilizwa, lakini kama kesi ya msingi itafutwa, hata maombi hayo yataathirika.

spot_img

Latest articles

VETA Kihonda yaja ‘cold room’ kupunguza upotevu wa mazao ya wakulima

Na Mwandishi Wetu UBUNIFU wa mfumo jumuishi wa kuhifadhi mazao kwa kutumia teknolojia ya ubaridi...

Ofisi ya Msajili wa Hazina yalenga kukusanya Sh2 trilioni mwaka 2026/27

Na Mwandishi Wetu OFISI ya Msajili wa Hazina (OTR) imejiwekea lengo la kukusanya Sh2...

MAULIDI KITENGE AUNGANA NA TANESCO KUHAMASISHA NISHATI SAFI YA KUPIKIA KWA UMEME

📌 Aahidi kutumia jukwaa lake kuhamasisha wananchi kutumia umeme kwa shughuli za kupikia 📌 Ushirikiano...

COASCO: Ukaguzi wa vyama vya ushirika waongeza uwazi na kuimarisha imani ya wanachama

Na Tatu Mohamed Shirika la Ukaguzi na Usimamizi wa Vyama vya Ushirika (COASCO) limesema ukaguzi...

More like this

VETA Kihonda yaja ‘cold room’ kupunguza upotevu wa mazao ya wakulima

Na Mwandishi Wetu UBUNIFU wa mfumo jumuishi wa kuhifadhi mazao kwa kutumia teknolojia ya ubaridi...

Ofisi ya Msajili wa Hazina yalenga kukusanya Sh2 trilioni mwaka 2026/27

Na Mwandishi Wetu OFISI ya Msajili wa Hazina (OTR) imejiwekea lengo la kukusanya Sh2...

MAULIDI KITENGE AUNGANA NA TANESCO KUHAMASISHA NISHATI SAFI YA KUPIKIA KWA UMEME

📌 Aahidi kutumia jukwaa lake kuhamasisha wananchi kutumia umeme kwa shughuli za kupikia 📌 Ushirikiano...