Dube awanyima raha Simba

Na Mwandishi wetu

Prince Dube ndiye mchezaji anayewakosesha raha mashabiki wa Simba baada ya leo kuendeleza ubabe wake, akipachika bao mapema tu dakika ya 14 kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza.

Dakika za jioni kabisa Cloutus Chama ndipo akaisawazishia Simba na matokeo kuwa 1-1.

Kwa matokeo hayo yanaifanya Yanga kuendelea kuongoza Ligi hiyo ikiwa na pointi 37, ikifuatiwa na Azam alama 32, zikicheza mechi 14 kila mmoja na Simba ikiwa ya tatu na pointi 30 ikicheza michezo 13.

spot_img

Latest articles

Mradi wa Taza kufungua Soko jipya la biashara ya umeme Afrika

Na Mwandishi Wetu, Mbeya IMEELEZWA kuwa mradi wa ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme ya...

Maaskofu, Masheikh nyanda za juu wahimiza uchaguzi wa amani

Na Mwandishi Wetu, Mbeya VIONGOZI wa dini kutoka mikoa ya Nyanda za Juu Kusini wamewataka...

SGR yapata ajali, TRC yataja chanzo

Na Mwandishi Wetu Treni ya Mwendokasi (SGR) imeacha njia yake na kupata ajali katika eneo...

More like this

Mradi wa Taza kufungua Soko jipya la biashara ya umeme Afrika

Na Mwandishi Wetu, Mbeya IMEELEZWA kuwa mradi wa ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme ya...

Maaskofu, Masheikh nyanda za juu wahimiza uchaguzi wa amani

Na Mwandishi Wetu, Mbeya VIONGOZI wa dini kutoka mikoa ya Nyanda za Juu Kusini wamewataka...