Dube awanyima raha Simba

Na Mwandishi wetu

Prince Dube ndiye mchezaji anayewakosesha raha mashabiki wa Simba baada ya leo kuendeleza ubabe wake, akipachika bao mapema tu dakika ya 14 kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza.

Dakika za jioni kabisa Cloutus Chama ndipo akaisawazishia Simba na matokeo kuwa 1-1.

Kwa matokeo hayo yanaifanya Yanga kuendelea kuongoza Ligi hiyo ikiwa na pointi 37, ikifuatiwa na Azam alama 32, zikicheza mechi 14 kila mmoja na Simba ikiwa ya tatu na pointi 30 ikicheza michezo 13.

spot_img

Latest articles

Tume ya Rais ya Maboresho ya Kodi yaanza kazi, yakaribisha wananchi kutoa maoni

Na Winfrida Mtoi Tume ya Rais ya Maboresho ya Kodi nchini, imesema tayari imeanza...

Urathi wa Mwalimu Nyerere usaidie kukubali kukosolewa

JUMATATU wiki hii Watanzania walikumbuka kifo cha Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere aliyefariki...

Nimemsikiliza Gachagua, nikatamani Lowassa 2008 angelipambana vivyo

KWA zaidi ya wiki mbili sasa majirani zetu, Kenya, kumekuwa na siasa za moto....

Kukataa mgombea binafsi ni kukumbatia utumwa

HISTORIA inashuhudia kwamba wapo watumwa walikataa kuwa huru kwa sababu waliamini kwamba pamoja na...

More like this

Tume ya Rais ya Maboresho ya Kodi yaanza kazi, yakaribisha wananchi kutoa maoni

Na Winfrida Mtoi Tume ya Rais ya Maboresho ya Kodi nchini, imesema tayari imeanza...

Urathi wa Mwalimu Nyerere usaidie kukubali kukosolewa

JUMATATU wiki hii Watanzania walikumbuka kifo cha Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere aliyefariki...

Nimemsikiliza Gachagua, nikatamani Lowassa 2008 angelipambana vivyo

KWA zaidi ya wiki mbili sasa majirani zetu, Kenya, kumekuwa na siasa za moto....